Skip to main content

HABARI NJEMA KWA WANAO SUMBULIWA NA VIPELE VYA KISOGONI.




Name:  Vipele.jpg
Views: 204
Size:  31.3 KB
Unasumbuliwa  na  tatizo  la  kutokwa  na  vipele  kisogoni ? Vipele  vinavyo  sababishwa  na  kunyoa  saluni  ? Kama  jibu  lako  ni  NDIO , basi  hii  ni  HABARI  NJEMA  SANA  KWAKO.  Neema  Herbalist & Nutritional  Foods  Clinic  ni duka la  kuuza  dawa  mbalimbali  za  asili.  Tunakuarifu  kuwa, tunayo  dawa  asilia inayo  tibu  na  kuponyesha  kabisa  tatizo  la  kutokwa  na  vipele  kisogoni.
Dawa  yetu  ni  ya  asili  kabisa,  isiyo  na  kemikali  za  viwandani  na  inatibu  na  kukausha kabisa  tatizo la  kutokwa  na  vipele  kisogoni  ndani  ya  siku  thelathini.
BEI  YA  DAWA  HII  NI  SHILINGI  ELFU  HAMSINI  TU. ( Tshs.50,000/=).  Tunapatikana   UBUNGO jijini Dar  Es  Salaam, jirani  na  Shule  Ya  Msingi  Ubungo  National  Housing, nyuma  ya   jengo la  Ubungo  Plaza.
Kwa  wateja wasio  weza  kufika  ofisini  kwetu, watapelekewa  dawa  mahali  walipo  ( DELIVERY ). Kwa  wateja  wa   mikoani, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  mabasi. Kwa  wateja  waliopo  Zanzibar, watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  boti, na  kwa  DIASPORA  watatumiwa  dawa  kwa  njia  ya  POSTA  au  DHL.
Tunapatikana  kwa  simu  namba  0766  53 83 84.  Na  kwa  taarifa  zaidi  kuhusu  huduma  zetu, tutembelee :   www.neemaherbalist.com

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...