Skip to main content

NINI TIBA ASILIA YA MWILI KUWAKA MOTO?



Habari  za  leo, ninaitwa  Beka, naishi  Ukonga, Dar  Es  Salaam, ninasumbuliwa  na  tatizo  la  mwili  kuwaka  moto. Ninaomba  kujua  nifanye  nini  ili  niondokane  na  tatizo  hili.

===================================================


Ndugu  Beka, zipo tiba  mbalimbali za  asili, zinazo weza  kusaidia  kutibu  tatizo  la  mwili kuwaka moto. Kati  ya  tiba  hizo, ifuatayo  ni miongoni  mwa  tiba  asilia  za  tatizo  la  mwili  kuwaka  moto  ambazo zimeonekana  kuwa  na  mafanikio  makubwa  zaidi.

MAHITAJI :

i.   Mafuta  ya  nyonyo  (Castor  Oil )
ii. Mafuta  ya  mzeituni.

MATAYARISHO :
Changanya  mafuta ya  nyonyo  robo  lita  na  mafuta  ya  mzeituni  robo  lita, kisha  koroga   hadi  mchanganyiko  wako  uchanganyikane, halafu  hifadhi  kwenye  chupa  ama  kopo  safi.

MATUMIZI :  Tumia  kujichua  mara  tatu  kwa  siku, asubuhi  mchana  na  jioni. Utaendelea  kujichua  hadi  tatizo  litakapo  isha. Kama  tatizo  lako  litaendelea  kuwepo  bila  kupata  nafuu  yoyote, unashauriwa  kufika  katika  kituo  cha  afya  kwa  ajili  ya  vipimo  zaidi.

IMEANDALIWA  NA  NEEMA  HERBALIST  BLOG......0766  53  83  84.


Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...