Skip to main content

LAINISHA NGOZI YA USO WAKO KWA KUTUMIA VIPODOZI ASILIA



Kuwa  na  uso  wenye  ngozi  laini  ni  ndoto  ya  kila  mwanamke duniani. Unaweza  kuifanya  ngozi  ya  uso  wako  kuwa  laini, bila  kulazimika  kutumia  dawa  zenye  kemikali.

Mdalasini  ya  unga  

Mafuta  ya  Mzeituni


Mafuta  ya  Habbat  Sodah.
 Kama unataka  kulainisha  ngozi  ya  uso  wako   kwa  njia  asilia, njia  zisizo  na  madhara  yoyote  kwenye  afya  yako, fuata  maelekezo  yafuatayo :


1.   MAHITAJI :

    i. Unga  wa  mdalasini  gramu  250.
   ii.  Mafuta  ya  Habbat  Sodah  milimita  250.
   iii.  Mafuta  ya  mzeituni  milimita  250.


2. MATAYARISHO :

 Changaya unga  wa  mdalasini, mafuta  ya  Habbat  Sodah,  na  mafuta  ya  mzeituni  kisha  koroga  kwa  pamoja  hadi  zichangamane, halafu  hifadhi  kwenye  chombo  kisafi.


3.  MATUMIZI :  Tumia  kujipaka  mara  mbili  kwa  siku  asubuhi  na  jioni  kwa  muda  wa  siku  thelathini, na  ngozi  yako  itakuwa  nyororo  na  yenye  kuvutia  sana.

IMEANDALIWA  NA   NEEMA HERBALIST   BLOG    ....0766538384, DAR  ES  SALAAM.

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...