Skip to main content

FAIDA ZA MTI WA MBUYU








Mafuta  ya  ubuyu  yameonyesha  mafanikio  makubwa  sana  katika  kuwasaidia  watu  wenye  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya. Pichani  mteaja  akinunua  mafuta  ya  ubuyu.






Ubuyu  ni  zao  lenye  faida  nyingi  sana  kwa  afya  ya  mwanadamu. Zifuatazo  ni  baadhi  ya   faida  za  zao  la  mti  wa  mbuyu :

1.  MAFUTA  YA  UBUYU  :

Ni  mafuta  yatokanayo  na   mbegu  za  ubuyu .  Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu  mafuta  ya  ubuyu  yana  faida  zifuatazo  :

i.   Yana  utajiri  wa  vitamini :  Mafuta  ya  ubuyu  yana  vitamini  A,B,C,D  hadi  F.

ii.  Yanatengeneza  seli  zote  ndani  ya   mwili.

iii.  Hutengeneza  ngozi  isiharibike  wala  kupata  makunyanzi.

iv.  Yanaondoa  mafuta   sehemu  ya  ndani  ya  mishipa  ya  damu.

v.Yana  virutubisho  mbalimbali  muhimu  kwa  mwili  wa  mwanadamu, mfano: Omega  3, Omega  6, na  Omega  9  kwa  kutaja  vichache.

vi.  Yanarutubisha  figo  na  Ini.

vii. Yanaleta  hamu  ya  kula.

viii.  Yanatibu  mifupa  na  kuimarisha  kucha  na  nywele.

viii.  Yanaongeza  kinga  ya  mwili  (  CD. 4  )

ix.  Yanaondoa    sumu  mwilini.

x.  Yanatengeneza  sukari  iwe  katika  kiwango  kinacho  takiwa.


xi..  Yanasaidia  kuona  vizuri  na  kumbukumbu.
xii.  Yanaondoa  madoa  na  chunusi, fangasi, upele, mmba  na  mwasho  wa  ngozi.
xiii: Yanafaa   kwa  walemavu  wa  ngozi  (  albino  )
xiii:  Huondoa  hamu  ya  kutumia   dawa  za  kulevya.
xiv. Hutibu  vidonda  vya  tumbo  sugu  kwa  muda  mfupi.
xv:   Huwasaidia  wagonjwa  wa  kansa.
xv. Yanawafaa  wagonjwa  wa  kisukari  na  pumu.




2.  MAJANI  YA  UBUYU  :  Majani  ya  mbuyu  huweza  kutumika  kama  mboga. Faida  za kutumia  majani  ya  mbuyu  ni kama  ifuatavyo  :

i.  Hutibu  vidonda  vya  tumbo.
ii. Huboreesha  mbegu  za  kiume  na  kike.
iii. Hutibu  Taifodi  sugu.
iv .  Huongeza  nguvu  mwilini  kwa  haraka.


3. UNGA  WA  UBUYU :
*  Hutumika  kutengeneza  juisi. (  Juisi  ya  ubuyu  ina  vitamnini  C  nyingi  kuliko  tunda lingine  lolote  duniani.

*Husaidia  kuongeza  kumbukumbu.

4.  SABUNI  YA  UBUYU :

*  Huondoa  mabaka, mmba, chunusi , madoadoa  na  mwasho wa  ngozi

*  Hulainisha  ngozi  na  kuifanya  yenye  mvuto  daima.
*  Hutibu  fangasi  na  huwasaidia  walio  haribiwa   ngozi  na  vipodozi.
*  Huwasaidia  wenye  ulemavu  wa  ngozi.

UPATIKANAJI  WA  MAFUTA  YA  UBUYU
:
 Mafuta  ya  ubuyu  pamoja  na  bidhaa  nyinginezo  zitokanazo  na  ubuyu, vinapatikana  katika   supermarkets  mbalimbali  nchini.


Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA