Skip to main content

TATIZO LA TEZI


Tezi  ni  kokwa ambayo ipo chini ya kibofu cha mkojo ambapo mrija wa kupitisha mkojo hupita ndani yake .  Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kiafya, barani  Afrika, wanaume  watatu  kati  ya  kumi  wenye  umri  wa  kati  ya  miaka   55  na  75  wanasumbuliwa  na  tatizo  la  tezi. Hapa  kwetu  Tanzania, mara  nyingi  suala  la ugonjwa  huu  huwa  linahusishwa  na  imani  potofu  kuwa  wahusika  walikuwa  wanaji  husisha  na  tabia  za  kingono  zisizo  faa. Hata  hivyo  si  kwa  wazee  tu, bali  hata  vijana  wadogo  nao  wanasumbuliwa  na  tatizo  hili  siku  hizi

DALILI   ZA  MGONJWA   WA  TEZI.
Watu  wanao  kabiliwa  na  tatizo  la  tezi, huonyesha  dalili  zifuatazo

i.              Kujisikia  kubanwa  na  mkojo  wa  mara  kwa  mara  hususani  wakati  wa  usiku.
ii.           Kutoa  damu kwenye mkojo
iii.         Kupatwa  na  maumivu  makali  wakati wa kukojoa, maumivu  huwa  makali  zaidi  baada  ya  kukojoa  na  wakati  wa  kumalizia kukojoa.
iv.         Kukojoa  kwa  tabu  sana  au  kushindwa  kukojoa  kabisa.
v.           Mkojo  kutoka  bila  ridhaa  ya  muhusika 
vi.         Tatizo  la  tezi  linaweza  kumsababishia  muhusika   matatizo ya uzazi
vii.         Kuishiwa  na  nguvu za kiume
viii.      Kupatwa  na  maumivu wakati wa  kutoa  mbegu  za  kiume.
ix.         Kupatwa  na  maumivu sehemu ya chini ya mgong
x.           Kupatwa  na maumivu sehemu ya chini ya tumbo
xi.          Kupatwa  na maumivu kwenye mapaja
xii.        Kupatwa  na maumivu kwenye nyonga au hips.
Kama  unaonyesha    dalili  hizi, fahamu  ya  kwamba, unakabiliwa  na  tatizo  la  tezi. Unapaswa  kuwaona   wataalamu  wa  afya  mara  moja  ili  uweze  kupata  matibabu  ya  tatizo  lako   ili  kujiepusha  na  madhara  makubwa  yanayo weza  kukupata  kutokana  na  kuwa  na  tatizo  la  tezi.  Kwa  dawa  ya asili  ya  tatizo  la  tezi, tafadhali  wasiliana  na Neema  Herbalist  kwa    Simu : 0766538384.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA