Skip to main content

TATIZO LA TEZI


Tezi  ni  kokwa ambayo ipo chini ya kibofu cha mkojo ambapo mrija wa kupitisha mkojo hupita ndani yake .  Kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kiafya, barani  Afrika, wanaume  watatu  kati  ya  kumi  wenye  umri  wa  kati  ya  miaka   55  na  75  wanasumbuliwa  na  tatizo  la  tezi. Hapa  kwetu  Tanzania, mara  nyingi  suala  la ugonjwa  huu  huwa  linahusishwa  na  imani  potofu  kuwa  wahusika  walikuwa  wanaji  husisha  na  tabia  za  kingono  zisizo  faa. Hata  hivyo  si  kwa  wazee  tu, bali  hata  vijana  wadogo  nao  wanasumbuliwa  na  tatizo  hili  siku  hizi

DALILI   ZA  MGONJWA   WA  TEZI.
Watu  wanao  kabiliwa  na  tatizo  la  tezi, huonyesha  dalili  zifuatazo

i.              Kujisikia  kubanwa  na  mkojo  wa  mara  kwa  mara  hususani  wakati  wa  usiku.
ii.           Kutoa  damu kwenye mkojo
iii.         Kupatwa  na  maumivu  makali  wakati wa kukojoa, maumivu  huwa  makali  zaidi  baada  ya  kukojoa  na  wakati  wa  kumalizia kukojoa.
iv.         Kukojoa  kwa  tabu  sana  au  kushindwa  kukojoa  kabisa.
v.           Mkojo  kutoka  bila  ridhaa  ya  muhusika 
vi.         Tatizo  la  tezi  linaweza  kumsababishia  muhusika   matatizo ya uzazi
vii.         Kuishiwa  na  nguvu za kiume
viii.      Kupatwa  na  maumivu wakati wa  kutoa  mbegu  za  kiume.
ix.         Kupatwa  na  maumivu sehemu ya chini ya mgong
x.           Kupatwa  na maumivu sehemu ya chini ya tumbo
xi.          Kupatwa  na maumivu kwenye mapaja
xii.        Kupatwa  na maumivu kwenye nyonga au hips.
Kama  unaonyesha    dalili  hizi, fahamu  ya  kwamba, unakabiliwa  na  tatizo  la  tezi. Unapaswa  kuwaona   wataalamu  wa  afya  mara  moja  ili  uweze  kupata  matibabu  ya  tatizo  lako   ili  kujiepusha  na  madhara  makubwa  yanayo weza  kukupata  kutokana  na  kuwa  na  tatizo  la  tezi.  Kwa  dawa  ya asili  ya  tatizo  la  tezi, tafadhali  wasiliana  na Neema  Herbalist  kwa    Simu : 0766538384.

Comments