Skip to main content

BABU MWENYE UMRI WA MIAKA 113 ATAJA VYAKULA VIKUU VITANO VILIVYO MSAIDIA KUFIKISHA UMRI HUO.





Bernando LaPallo ni  raia  wa  raia  wa   Marekani   ambaye  alizaliwa  nchini  Brazil  tarehe 17 Agosti 1901 . Mzee  huyu  pamoja  na  kufikisha  umri  wa  miaka  113  lakini  anaonekana  mwenye  afya  tele. Kwa muonekano  wake, ni  kama  mzee  wa  miaka  65  au 70  hivi.

Katika  kitabu  chake  Age Less/Live More: Achieving Health and Vitality at 107 and Beyond, mzee  huyu  anaelezea  vyakula  vitano  ambavyo  vilikuwa  havikosekani  katika  mlo  wake  wa  kila  siku.  Babu  huyu  anasema  ulaji  wa  vyakula  hivyo  umechangia  kwa  kiasi  kikubwa   kumfanya  afikie  umri  huo.
Vyakula  hivyo  ni  kama  ifuatavyo :
1.    VITUNGUU  SWAUMU
2.    ASALI
3.    MDALASINI
4.    CHOCKOLATE  NYEUSI
5.    MAFUTA  YA  MZEITUNI.
Vyakula   vyote  vilivyotajwa  hapo  juu  vina  virutubisho  muhimu  sana  katika  kuongeza  kinga  ya  mwili  wa  mwanadamu  na  kumsaaidia  kupambana  na  magonjwa  mbambalimbali.
Katika  makala  zetu  zilizopita, tumezungumzia  faida  za  kutumia  vyakula  tajwa  hapo  juu  na  namna  ya  kuvitumia. Una  ngoja  nini? Anza  leo  kujumuisha    vyakula  tajwa  hapo  juu  katika  mlo  wako, upate  kuimarisha  kinga  ya  afya  yako.
I METAYARISHWA  NA  NEEMA  HERBALIST  0766538384.

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...