Skip to main content

RACHEL WA THT : SIJAWAHI KUTEMBEA NA MWANAUME MWEUSI NA WALA SINA MPANGO WA KUTOKA KIMAPENZI NA MWANAUME MWEUSI.







Akifanya  interview  na   Sporah  Show, Msanii  wa  muziki  wa  Bongo  Flava, Rachel  amefunguka  kuwa  hajwahi  kutoka  kimapenzi na  mwanaume mweusi  na wala hana mpango  wa  kutoka  kimapenzi na  mwanaume mweusi.


Rachel  alisema  tangu  aanze  kujihusisha  na  mahusiano  ya  kimapenzi,amekuwa  akitoka  na wanaume wa kiarabu,kihindi,nakiburushi.


Aliongeza  kuwa  mpenzi  wake wa mwisho  ambaye  alikuwa  muhindi, alitaka  kumchumbia,lakini  Rachel  hakukubaliana  naye  kwa  sababu ya  tofauti  za  kidini  na  kiutamaduni.
Alipoulizwa  kama  amewahi  kuwa  na  mpenzi  ‘mswahili’ , Rachel  alikataa  kata  kata,na alipoulizwa   kama  anaweza kutoka  kimapenzi  na  mwanaume  mswahili,alisema  hawezi  kufanya  hivyo.

Sporah :  Hao  wanaume  wa kiarabu  na kihindi  huwa  unawafuata  mwenyewe  au  wana  kufuata  wenyewe.

Rachel  :Huwa  wananifuata  wenyewe.
Sporah :  Unadhani  kwa nini  wanakufuata  ?
Rachel  : Sijui,labda  kwa  sababu  ya  aina  ya  muziki  ninao  ufanya  ndio  unawavutia.

Sporah  :Kwa nini  huwapendi  wanaume  weusi,wamekuumiza  sana  kiasi  cha  kuwachukia  ama ?
Rachel : Sijui, labda  kwa  sababu  nimekuwa  na  ukaribu  zaidi  na hao wanaume wa kiarabu,kihindi  na  kiburushi.




Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...