Skip to main content

KUTANA NA MWANAMKE BIKIRA MWENYE UMRI WA MIAKA 64.


Ngipeni, mwanamke  raia  wa  Afrika  Kusini, anaye  daiwa  kuwa  bikira  katika  umri  wa  miaka  64.



Ngipheni   kutoka   KwaMafunze ,Pietermaritzburg,Afrika  Kusini  ni  bikira  mwanamke  bikira  mwenye  umri  wa  miaka  64.  Alilazimika  kubaki  bikira  kwa  muda  wote  huo  kwa  sababu  hiyo ndio  ilikuwa njia pekee  ya  kushiriki  katika   ngoma za  utamaduni  wa  kabila  lake, ngoma  inayo  fanyika  kila  mwaka  kwa  ajili  ya  mfame  wao  Goodwill  Zwelithini ambaye  huitwa    Umkosi  Womhlanga.

Amekuwa  sehemu  ya  ngoma  hiyo  tangu akiwa teenager

“ Kabla  hatujaenda  kwenye  sherehe  za  ngoma, walezi  wetu   walitumia  kuhakikisha  kuwa  tupo  bikira  kwa  sababu  ngoma  hizo  ni  kwa  ajili  ya  wanawake  bikira “alisema .

Ingawa bado  yupo  bikira, Ngipheni anasema  amekuwa  akipata  hamu  ya  kufanya  mapenzi  kwa muda  mrefu.
  Njia  pekee  niliyo  itumia  kujizuia  na  hamu ya  kufanya  mapenzi, ni  kwa  kukumbuka  ushauri  wa  wazazi wangu kwamba  kupatwa  na  hamu  ya  kufanya  mapenzi  ni jambo  la asili  kwa  kila  mwanadamu.

Anasema  alipokuwa msichana, vijana  wengi  walijitokeza  kumchumbia. “ Wote  niliwatolea  nje  kwa  sababu  nilitaka  kuendelea  kuwa  bikira.”

Ngipheni  anatoboa pia  aliwahi  kuwa  na  rafiki  wa  kiume  ambaye  baadaye  alikuja  kuwa  mchumba  wake.


“ Enzi  zetu  wachumba  zetu  hawakuwa  na  haraka  ya  ngono. Walituheshimu  sana. Niliachana  na  mchumba  wangu  kwa  sababu  ali cheat.”

Ngipheni  anaongeza  kuwa  yupo  salama  na  magonjwa  ya  zinaa. Anasisitiza  kuwa  hamaanishi  kuwa  wasichana  wasifanye  mapenzi  au  wasiolewe.
“ Kama  unafanya    mapenzi, fanya  mapenzi  salama  na  ufanye  hivyo  baada  ya  kufunga  ndoa. Utakapo  funga  ndoa  mwambie  mume  wako  muende  mkapime  v.v.u.  Hii  itasaidia  kupunguza  kasi  ya  maambukizi  ya  v.v.u  pamoja  na  mimba  za  utotoni. “

Mlezi wa  Ngipheni, Zithobile  Mbhele  anasema  amefanya  kazi  na   Ngipheni  kwa  zaidi  ya  miaka  thelathini  na  anamsifu  kwa  kuwa   mfano  mzuri  kwa wanawake  wanaoishi  katika  jamii  yake.
CREDIT :  MASHIRIKA  MBALIMBALI  YA  HABARI


Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA