Skip to main content

VYAKULA VITANO VYA KUEPUKWA NA MAMA WAJAWAZITO






Unahitajika  umakini  wa  hali  ya  juu  sana  kwa  mama  mjamzito  ili  kuhakikisha  usalama  wa  mtoto  atakaye  zaliwa  pamoja  na  usalama  wa  mama  wakati  wote  wa  ujauzito ,wakati  wa  kujifungua  na  kipindi  chote  atakacho  kuwa  ana nyonyesha.
Vipo  vyakula  mbalimbali  ambavyo  mama  mjamzito  anatakiwa  kuviepuka  lakini  katika  makala  ya  leo, tutavitaja  vyakula  vitano. Vyakula  hivyo  ni  kama  ifuatavyo :

1.   Papai   bichi
Ulaji  wa  mapapai  mabichi  au  ambayo  hayajaiva  vizuri  unaweza  kusababisha  kuchoropoka  kwa  ujauzito  (  miscarriage )
2.   Mayai  mabichi  au  mayai  ambayo  hayajaiva  vizuri
Ulaji  wa  mayai  mabichi  au  mayai  ambayo  hayajaiva  vizuri  unaweza  kukusababishia  kutapika  na/ama  kuharisha  ambako  kutamuathiri  mtoto  aliye  tumboni.
3.    Unywaji  wa  pombe
Unywaji  wa  pombe  wakati  wa ujauzito  unaweza  kusababisha  kuchoropoka  kwa  mimba.
4.   Utumiaji  wa  kafeini
Utumiaji  wa  kafeini  unaweza  kusababisha  kuchoropoka  kwa  mimba, na  ikitokea  mtoto  akazaliwa  basi  atazaliwa  akiwa  na  afya  dhoofu.

5.   Utumiaji  wa  samaki  wabichi
Utumiaji  wa  samaki  hasa  wenye  kiwango  kikubwa  cha  madini  ya  Zebaki  ( Mercury) ni  hatari  sana  kwa  mwanamke  mjamzito  kwa  sababu madini  ya  zebaki  yanaeza  kuathiri  ukuaji  wa  ubongo  pamoja  na  mfumo  mzima  wa  ubongo  wa  mtoto  aliye  tumboni.

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...