Skip to main content

ATOA USHUHUDA JINSI URAIBU WA KUVUTA SIGARA NA POMBE KALI ULIVYO SABABISHA RAFIKI YAKE KUPATA SARATANI YA MAPAFU ( Je Kuna Tiba ya kumsaidia mraibu wa sigara na pombe kuacha kutumia tena vitu hivyo?)

 

 



Rafiki yangu amebakiza mwezi mmoja kuishi kutokana na uraibu wa sigara na pombe kali iliyosababisha saratani ya mapafu

 

 

Habar za muda huu wana Jf.

Usiku huu nimepokea taarifa zilizonishtua sana kutoka Kwa rafiki yangu (Mdogo wangu) kuhusu Afya yake.

Alichoniambia mpaka sasa sijaelewa kinawezaje kumuathiri haraka hivyo kutokana na mimi nilivyokuwa nafahamu.

Iko hivi, huyu dogo ni mraibu wa sigara na pombe kali. Sasa anachoniambia kutokana na matumizi yake ya vilevi hivyo kuwa makubwa amepatikana na tatizo la Saratani ya mapafu na ipo katika stage mbaya Sana, naweza kusema ya mwisho kabisa.

Sikupata Nafasi ya kumuhoji mambo mengi kutokana na hali aliyokuwa nayo (Alikuwa amelewa sana leo, pia alikuwa analia Kwa uchungu sana) Hivyo muda mwingi niliutumia kumbembeleza kumfanya asijisikie vibaya zaidi.

Kwa maelezo Aliyonipa anasema tatizo limeanza muda kidogo lakini wakati anakwenda Hospital lilikuwa limeshamla zaidi ya 75% hivyo Madaktari, Wamemweleza ukweli hapo alipofikia haiwezekani tena too late, hivyo kwa kipindi chote hicho Amekuwa mtu Wa kutumia sindano ili kupunguza makali Ya tatizo kumpelekea kwenye kifo.

Ameendelea kunieleza sindano anazochoma ni gharama Sana na ni kila wiki hivyo imempelekea Kuuza baadhi ya vitu vyake kwa ajili ya kuendelea na matibabu. Sasa kitu Walichomueleza hospital hizi siku za hivi karibuni ni kwamba Stage aliofikia now hata hizo sindano haziwezi msaidia. Uwezekano wa kuishi zaidi ya siku 30 kuanzia sasa labda itokee muujiza na neema za Mungu. Kutokana na nature ya tatizo.

Kumbe dogo Aliambiwa apunguze matumizi ya hivyo vitu hususani sigara ikiwezekana aache kabisa itamsaidia kwa kiasi fulani lakini yeye akawa anapiga kama kawa.

Kilichonifanya nije jukwaani Hapa, Kwanza nafahamu kama sigara zina madhara lakini chalii ni mdogo under 30, imewezekanaje zimalize mapema hivyo?

Kama jibu ni ndio, basi kuna vifo vya wetu wengi sana kutokana na matumizi ya sigara.

Kingine wataalamu wanieleze hii issue imekaaje kuhusu upande wa matibabu, pia naamini kuna watu wamewahi experience hii issue yaweza kuwa imempata rafiki, ndugu, jirani whatever..je ilikuwaje?

Dogo ndio amezidi kuchanganyikiwa anakunywa mapombe hovyo anauza mali Zake hovyo amejikatia taamaa haoni tena thamani ya haya maisha. Kilichoniuma Ananiambia ameniita kuniaga siku 😭 😭 😭 siku nikisikia amekufa basi sababu ni hiyo.

Hivyo kwa sasa Anahesabu siku na masaa kiukweli roho imeniuma. Aisee wale wa vitaji wa sigara na mapombe makali, jifunzeni kutokana na kisa hicho.

Nimepitia google kwenye chanzo fulani cha habari kinasema Watumiaji wa tumbaku kuanzia Miaka ya 2005+ imeonekana kuwa na adhari kubwa zaidi kuliko hizo za miaka ya nyuma.

Hivyo vifo vimeongezeka tena zaidi ni vijana na jinsi ya kiume. Serikali iangalie kwa makini sana hili jambo tutapoteza nguvu kazi ya taifa, wasiangalie tu kwenye kodi waangalie na maisha ya watu.

Karibu kwa mawazo, hoja ushauri. Nawasilisha🙏

 

CREDIT:  Jamii Forums.

 

KUTOKA NEEMA HERBALIST : Je zipo dawa ambazo zinaweza kumsaidia mraibu wa sigara na pombe kurejea katika hali yake ya kawaida? Yani kuacha kabisa kuvuta sigara na/au kunywa pombe ? Jibu ni NDIO zipo dawa  mbalimbali za asili zitokanazo na mimea ambazo zina uwezo wa kumfanya mraibu pombe na/au  sigara kuacha kabisa. Kazi kubwa ya dawa hizo ni ku reverse addiction . Kufahamu zaidi  kuhusu tiba hii, wasiliana na duka la Neema Herbalist kupitia simu namba 0766 53 83 84. Tunapatikana Dar Es Salaam, Ubungo nyuma ya UBUNGO PLAZA jirani na shule ya Msingi UBUNGO NATIONAL HOUSING.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA