Skip to main content

Peter Msechu aelezea namna alivyo teswa na tatizo la kitambi

 


Awali  ya  yote kabla  ya  habari ya Msechu, ukitaka  kufahamu  zaidi  namna  kitambi kinavyo  tokea  kwenye  mwili  wa  mtu, tembelea  link hii  hapa  chini:

https://neemaherbalist.blogspot.com/2015/11/fahamu-jinsi-kitambi-kinavyo-patikana.html

Haya  sasa  endelea  na  habari  ya  Peter  Msechu, namna  anavyo teswa  na  tatizo la kitambi.

 

 Peter Msechu amefanyiwa matibabu ya kuweka puto tumboni ili kupunguza uzito na unene inayoendelea kutolewa katika hospitali ya Mloganzila.
Peter Msechu amefunguka machache kuhusiana na changamoto ya kuwa na uzito wa kupitia kiasi kama ifuatavyo

"Watu wananisema sana mtandaoni kuwa Mimi ni mnene na siwajibu. Mimi niliamua kuishi maisha yangu. Lakini nimekuwa kila siku nikitafuta tiba mbadala ya kuondoa unene. Natamani Sana kupungua. Sijawahi kujua kushiba kukoje. Nimekuja hapa Mloganzila ili nifanyiwe hili zoezi la kuwekewa puto tumboni ili nipungue na nitafanyiwa leo na watu wataona" amesema Peter Msechu.

"Nafanya kazi sana na Serikali na ninaposafiri huwa naendesha gari mwenyewe kuna wakati mwingine nakuwa kwenye mazingira magumu, nisafiri nifanye kazi, niimbe halafu nisafiri tena nirudi Dar. Kwa sababu huwa sipendi kulala hotelini nahisi sio pasafi napenda kulala nyumbani kwangu kwahiyo nikisafiri lazima nirudi Dar.

"Juzi nilisafiri kwenda Mbeya nilipomaliza kazi nilirudi Dar. Hii nayo ni changamoto ya unene, unakuwa mtu wa kuchagua sana. Na wakati mwingine nahofia kuvunja vitanda vya a hotel kwa sababu nilishavunja Sana, hasa hizi chaga. Inanibidi niombe radhi pale reception"

"Watu wanene wapo na wanajigundua Wana changamoto ambazo wanapitia na zipo nyingi. Ukiwa na uzito mkubwa kuna baadhi ya vitu unashindwa kufanya mwenyewe. Nimeshaingia hasara ninaweza kuwa pale nyumbani nafanya kazi zangu kwenye kompyuta nikaona kwenye bustani yangu nataka nikakate majani niko radhi nitoe Elfu 20 nimwite kijana akate majani kitu ambacho ningekata mwenyewe kwa dakika Tatu. Ukipiga hesabu hizo na vitu ambavyo nimepoteza tayari nimeshaingia hasara" amefunguka Peter Msechu.

 

Credit kuhusu habari ya  Peter Msechu : Mitandao  mbalimbali  ya  kijamii.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA