Skip to main content

Mkufunzi atoa hadhari kwa wamama wanaonyonyesha wale waliozidi uzito

 

 



Mkufunzi wa Mazoezi kutoka Shirika la Vyama vya Magonjwa Yasiyoambukiza (NCD), Dk. Waziri Ndonde amesema katika kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza kwa mwanamke anayenyonyesha mwenye uzito kupita kiasi, anatakiwa kutumia dakika 150 kwa wiki kufanya mazoezi.

Dkt. Ndonde alitoa angalizo hilo jana wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Kudhibiti Magonjwa Yasiyoambukiza kilichofanyika mkoani Mwanza na kudhuriwa na watu mbalimbali.


Alisema dhana kubwa ya kujikinga na kuzuia magonjwa hayo ni pamoja na kuzingatia masuala ya lishe, kutokutumia tumbaku na kuushughulisha mwili kwa kufanya mazoezi.

"Kuushughulisha mwili na kufanya mazoezi ni kitu cha msingi cha kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza, pamoja na lishe, ukiwa na tabia bwete, kuishi bila kuushughulisha mwili ni moja ya sababu ya kupata magonjwa haya," alisema.

Mtaalamu huyo alisema serikali katika kutambua hilo, mwaka jana kwenye wiki kama hiyo, Wizara ya Afya ilizindua mwongozo wa kushughulisha mwili na kufanya mazoezi katika kuepuka tabia bwete.

"Mwongozo huu tayari umeshachapishwa na wadau mbalimbali wamepewa wanaendelea kupata elimu, moja ya lengo kubwa la wiki hii kwa mwaka huu ambapo tunaadhimisha hapa Mwanza, ni kuelimisha watu zaidi mapendekezo ambayo yapo ndani ya mwongozo huo," alisema

Aliongeza kuwa mwongozo upo wazi kwa watu wa rika zote, mfano wenye magonjwa sugu na wanaoishi na Virusi vya Ukimwi (VVU), umeelekeza namna gani ya kuushughulisha mwili kwa kufanya mazoezi.

Pia alisema kulikuwa na shida nyingi kwa wajawazito na waliojifungua, zinazotokana na mila na desturi wanakuwa na uzito uliokithiri baada ya kujifungua kutokana na lishe wanayopewa.

"Mwongozo unamtaka huyu mama atumie angalau dakika 150 kwa wiki wakati anatunzwa kupewa chakula bora ili apate maziwa ya kumnyonyesha mtoto, dakika hizo azitumie kwa wiki kuhakikisha hatapata unene uliokithiri, dakika hizo atatakiwa kufanya mazoezi yote muhimu," alisema.

Pia alisema mwongozo huo umetoa maelekezo kwa wazee, yaani watu wenye umri wa zaidi ya miaka 65, kuhusu nini wanapaswa kufanya ili kuepuka magonjwa hayo.


Chanzo: IPP


 

Kitambi, unene na uzito kupita kiasi ni miongoni mwa mambo yanayo tajwa kuwaweka watu katika hatari ya kupatwa na magonjwa ya moyo. Kufahamu  jinsi  kitambi, unene, uzito ulio zidi kinavyo tokea na jinsi kinavyo weza kudhibitiwa  kwa  kutumia dawa za mimea ya  asili, tembelea link hii  hapa  chini :
https://neemaherbalist.blogspot.com/2016/12/fahamu-jinsi-kitambi-kinavyo-patikana.html

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA