Skip to main content

Testimony : Nilianza kwa majaribio nikaishia kuwa teja, Story ya ukweli jinsi nilivyokuwa mtumwa wa kujichua kwa miaka 10

 

 

 

Ilikuwa ni kipindi nipo darasa la sita nikiwa na miaka 12 kwenye kipindi cha sayansi mwalimu alikuja kufundisha topic ya mitindo ya maisha kama sikosei ilikuwa ni reproduction.

Ni topic ambayo wengi iliwafanya wawe wasikivu kama mjuavyo hata watoro walikuwa hawaikosi, sasa katika maswali ya hapa na pale kuna jamaa akauliza swali kwamba uume ukipakwa sabuni kinatokea nini, nadhani huyo jamaa alikuwa tayari ashaanza kujichua na hilo swali kauliza kimafumbo ila kwa akili ya mwalimu mtu mzima alishajua nia ya lile swali.

Mwalimu ndio akaanza kugusia mambo ya nyeto kwamba kuna wavulana huwa wanajifungia ndani wanaanza kujichezea uume kwa kuuvuta vuta, hizo sabuni ni vilainishi, wanavuta mbele na nyuma ili wasikie raha hatimae wanamwaga.

Maswali yakaendelea hapo wakulungwa tukaanza kuuliza maswali hio raha inafikia utamu wa chai ya maziwa yenye sukari ? hizo sperms zinavyotoka ni hadi uamue au ni kwa hiari?, kiasi gani cha nguvu kinatumika?, n.k. mwalimu alikuwa ni mchangamfu haoni aibu kujibu maswali ila ilikuwa ni kwa mkato anaelezea kidogo anamalizia "mkikuwa mtajua."

Majibu hayakuniridhisha hayo, nilipofika home nikasubiri mida ya usiku naenda kuoga, nilipasha maji kabisa, basi nikampaka sabuni nyoka mwenye jicho moja a.k.a one eyed snake kama mwalimu alivyomwita, nikaanza kufata alichofundisha mwalimu, vuta nje na ndani mara kwa mara, wow mawii wawii ehh !! nikaanza kusikia stimu najihisi mbinguni, nikanza kuvuta mbele na nyuma kwa kasi naona na kakiuno nako kanacheza kenyewe, ghafla nikahisi raha ya ajabu sijawai kupata nusu nidondoke bafuni, faaaaa!!! Wazungu hao wakatoka, yani zinavyotoka nilishindwa kuji controll nikakuta naguna kama mtu aliepigwa roba na panya road wamenikaba na kumziba mdomo sauti inatoka kwa shida,. basi shughuli ilipoisha nikaanza kuhema kama gegedu lililokimbizwa huku mapigo ya moyo nayo yakiwa spidi, nilihisi mwili mwepesii sana, safari ya kwanza hii ndio ilianzisha safari nyingine.

kuanzia hapo ndio ukawa mchezo wangu huu, yani kila siku nikawa naoga hadi nikaanza kupongezwa nimekuwa msafi maana hapo nyuma kuna baadhi ya siku nilikuwa nategea

sekondari nilienda boarding nikakutana na wadau watundu zaidi tunapeana maujanja kwamba kamshipa flan kwenye shingo ya mheshimiwa kakiguswa kanachochea stim, kusafishiwa picha za warembo na walimu wazuri wa shuleni kwajili ya kuvutia hisia zaidi, kuchelewa kumwaga kwa kuwaza mitihani au deni, n.k. yani hata kwenye suala la mikanda ya x kulikuwa na ratiba ya siri kwenda kutazama yani tukitoka hapo kila mtu anaenda kustua,

Nikiwa shule hii ya boarding nilikuwa napiga kavu tu ama na mate maana shule ilikuwa haina uhuru, ukipigia sabuni watu wanaskia, waliopigia sabuni ni wale watukutu yanj mnavyooga bafu la wazi wao wamefunga macho wanapiga mzigo bila aibu, hawa walikuwa na mashindano yao kabisa wanapiga wazi wazi nani ataerusha bao kwa nguvu lifike mbali, ataewahi kumwaga, n.k. mshindi ananunuliwa andazi au soda, hawakuwa na aibu kabisa.

Kama kawaida nilipokuwa narudi nyumbani likizo nilikuwa napiga ya sabuni bafuni, ila nilipomaliza form 4 niliporudi nyumbani nikaijaribu ya mafuta ya vaseline blue seal zile zenye kikaratasi cha rangi ya blue kote, wee bwana we!! Konki fayaa!! ni kiboko yani zile game kavu na za sabuni nilisahau kabisaaa, napizi nikiwa natetemeka kama jenereta napiga na kelele ohhhhh mixer pumzi nzito, utam mpaka kisogoni.

Nilijaribu mafuta ya aina nyingi kuanzia baby care, coconut ya nazi, cocoa, hadi aina zingine za vaseline lakini kwenye utafiti huu mfalme alibaki kuwa vaseline ile iliyoandikwa blueseal ambayo kote ni ya blue, mafuta cocoa niliwahi tumia ila haya yanahitaji hali ya hewa flani hivi lasivyo yanakuwa kama baby care (wazoefu wamenipata

nilipomaliza form 4 ndio nikaanza kusex lakini game zilikuwa chache sana na za kuhesabika yani ni za kuotea. Katika siku 365 za mwaka nabandua siku 10 tu hizo zengine ni nyeto.

Nilikuja kupata simu inacheza video yani hapa ilikuwa ni kama mlevi wa pombe aliezoea kunywea nyumbani kaanza kwenda bar, nilikuwa na memory card maalum kabisa kwajili ya picha na video, nikizichoka naenda kwa wanachama nawapa zangu wananipa zao mpya, nikaja kununua smartphone ina internet yani mpaka ile memori kadi niliisahau, mkono wa kushoto upo kwenye simu huku mkono wa kulia unapiga mzigo, nilibuni hadi mbinu ya kupiga mzigo nikiwa ndani ya kitanda bila kuchafua blanketi wala shuka, ilikuwa kila nikienda kulala nastua na kila nikiamka nastua.

Uraibu huu uliendelea mpaka nilipofika miaka 22 ndio nilianza kupunguza kwasababu ndio umri nilipoanza kushika vipesa vya kuwatoa out, kununulia vizawadi na kuwa na ghetto la kueleweka kidogo, n.k.

Kwa sasa nina miaka 28, nipo huru kwa uraibu huo kwa miaka sita sasa, sio mtumwa lakini ikitokea emergency napiga cha emergency, ni mara chache sana kwakweli.

 

CREDIT : Jamii Forums.

 

Kutoka Neema  Herbalist : Je  na wewe una sumbuliwa na uraibu wa punyeto? Unajaribu kuacha lakini unashindwa? Unataka kujaribu  kuacha ? Unaweza  kujaribu kutumia njia hii hapa  chini : https://neemaherbalist.blogspot.com/2016/10/tiba-ya-asili-ya-kuacha-punyeto-kwa.html

N.B: Njia hii haikufanyi kuacha punyeto  automatically isipokuwa  inaweza  kukusaidia kukulazimisha kuacha punyeto. Ili uweze  kuacha  punyeto  kwa  kutumia njia hii  unatakiwa  wewe mwenyewe  kwanza  uwe na nia ya  dhati  ya  kuacha  vinginevyo njia  hii haitakusaidia.

KUHUSU KUTIBU  ATHARI ZA  PUNYETO: Je  mwanaume  alie  athirika  na  punyeto  anaweza  kutibiwa na kupona kabisa tatizo  lake na kurejea  katika  hali yake ya kawaida? Jibu ni  NDIO!!!  Kufahamu zaidi  kuhusu jinsi  mwanaume alie athirika na punyeto anaweza kupona kabisa  athari  alizo zipata kutokana na punyeto, tembelea link hii  hapa  chini:

https://neemaherbalist.blogspot.com/2019/07/uhusiano-kati-ya-punyeto-na-kusinyaa_14.html

 

Pamoja  na  link hii hapa chini:

https://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/uhusiano-kati-ya-damu-na-tatizo-la.html

Comments