Skip to main content

Testimony : Nilianza kwa majaribio nikaishia kuwa teja, Story ya ukweli jinsi nilivyokuwa mtumwa wa kujichua kwa miaka 10

 

 

 

Ilikuwa ni kipindi nipo darasa la sita nikiwa na miaka 12 kwenye kipindi cha sayansi mwalimu alikuja kufundisha topic ya mitindo ya maisha kama sikosei ilikuwa ni reproduction.

Ni topic ambayo wengi iliwafanya wawe wasikivu kama mjuavyo hata watoro walikuwa hawaikosi, sasa katika maswali ya hapa na pale kuna jamaa akauliza swali kwamba uume ukipakwa sabuni kinatokea nini, nadhani huyo jamaa alikuwa tayari ashaanza kujichua na hilo swali kauliza kimafumbo ila kwa akili ya mwalimu mtu mzima alishajua nia ya lile swali.

Mwalimu ndio akaanza kugusia mambo ya nyeto kwamba kuna wavulana huwa wanajifungia ndani wanaanza kujichezea uume kwa kuuvuta vuta, hizo sabuni ni vilainishi, wanavuta mbele na nyuma ili wasikie raha hatimae wanamwaga.

Maswali yakaendelea hapo wakulungwa tukaanza kuuliza maswali hio raha inafikia utamu wa chai ya maziwa yenye sukari ? hizo sperms zinavyotoka ni hadi uamue au ni kwa hiari?, kiasi gani cha nguvu kinatumika?, n.k. mwalimu alikuwa ni mchangamfu haoni aibu kujibu maswali ila ilikuwa ni kwa mkato anaelezea kidogo anamalizia "mkikuwa mtajua."

Majibu hayakuniridhisha hayo, nilipofika home nikasubiri mida ya usiku naenda kuoga, nilipasha maji kabisa, basi nikampaka sabuni nyoka mwenye jicho moja a.k.a one eyed snake kama mwalimu alivyomwita, nikaanza kufata alichofundisha mwalimu, vuta nje na ndani mara kwa mara, wow mawii wawii ehh !! nikaanza kusikia stimu najihisi mbinguni, nikanza kuvuta mbele na nyuma kwa kasi naona na kakiuno nako kanacheza kenyewe, ghafla nikahisi raha ya ajabu sijawai kupata nusu nidondoke bafuni, faaaaa!!! Wazungu hao wakatoka, yani zinavyotoka nilishindwa kuji controll nikakuta naguna kama mtu aliepigwa roba na panya road wamenikaba na kumziba mdomo sauti inatoka kwa shida,. basi shughuli ilipoisha nikaanza kuhema kama gegedu lililokimbizwa huku mapigo ya moyo nayo yakiwa spidi, nilihisi mwili mwepesii sana, safari ya kwanza hii ndio ilianzisha safari nyingine.

kuanzia hapo ndio ukawa mchezo wangu huu, yani kila siku nikawa naoga hadi nikaanza kupongezwa nimekuwa msafi maana hapo nyuma kuna baadhi ya siku nilikuwa nategea

sekondari nilienda boarding nikakutana na wadau watundu zaidi tunapeana maujanja kwamba kamshipa flan kwenye shingo ya mheshimiwa kakiguswa kanachochea stim, kusafishiwa picha za warembo na walimu wazuri wa shuleni kwajili ya kuvutia hisia zaidi, kuchelewa kumwaga kwa kuwaza mitihani au deni, n.k. yani hata kwenye suala la mikanda ya x kulikuwa na ratiba ya siri kwenda kutazama yani tukitoka hapo kila mtu anaenda kustua,

Nikiwa shule hii ya boarding nilikuwa napiga kavu tu ama na mate maana shule ilikuwa haina uhuru, ukipigia sabuni watu wanaskia, waliopigia sabuni ni wale watukutu yanj mnavyooga bafu la wazi wao wamefunga macho wanapiga mzigo bila aibu, hawa walikuwa na mashindano yao kabisa wanapiga wazi wazi nani ataerusha bao kwa nguvu lifike mbali, ataewahi kumwaga, n.k. mshindi ananunuliwa andazi au soda, hawakuwa na aibu kabisa.

Kama kawaida nilipokuwa narudi nyumbani likizo nilikuwa napiga ya sabuni bafuni, ila nilipomaliza form 4 niliporudi nyumbani nikaijaribu ya mafuta ya vaseline blue seal zile zenye kikaratasi cha rangi ya blue kote, wee bwana we!! Konki fayaa!! ni kiboko yani zile game kavu na za sabuni nilisahau kabisaaa, napizi nikiwa natetemeka kama jenereta napiga na kelele ohhhhh mixer pumzi nzito, utam mpaka kisogoni.

Nilijaribu mafuta ya aina nyingi kuanzia baby care, coconut ya nazi, cocoa, hadi aina zingine za vaseline lakini kwenye utafiti huu mfalme alibaki kuwa vaseline ile iliyoandikwa blueseal ambayo kote ni ya blue, mafuta cocoa niliwahi tumia ila haya yanahitaji hali ya hewa flani hivi lasivyo yanakuwa kama baby care (wazoefu wamenipata

nilipomaliza form 4 ndio nikaanza kusex lakini game zilikuwa chache sana na za kuhesabika yani ni za kuotea. Katika siku 365 za mwaka nabandua siku 10 tu hizo zengine ni nyeto.

Nilikuja kupata simu inacheza video yani hapa ilikuwa ni kama mlevi wa pombe aliezoea kunywea nyumbani kaanza kwenda bar, nilikuwa na memory card maalum kabisa kwajili ya picha na video, nikizichoka naenda kwa wanachama nawapa zangu wananipa zao mpya, nikaja kununua smartphone ina internet yani mpaka ile memori kadi niliisahau, mkono wa kushoto upo kwenye simu huku mkono wa kulia unapiga mzigo, nilibuni hadi mbinu ya kupiga mzigo nikiwa ndani ya kitanda bila kuchafua blanketi wala shuka, ilikuwa kila nikienda kulala nastua na kila nikiamka nastua.

Uraibu huu uliendelea mpaka nilipofika miaka 22 ndio nilianza kupunguza kwasababu ndio umri nilipoanza kushika vipesa vya kuwatoa out, kununulia vizawadi na kuwa na ghetto la kueleweka kidogo, n.k.

Kwa sasa nina miaka 28, nipo huru kwa uraibu huo kwa miaka sita sasa, sio mtumwa lakini ikitokea emergency napiga cha emergency, ni mara chache sana kwakweli.

 

CREDIT : Jamii Forums.

 

Kutoka Neema  Herbalist : Je  na wewe una sumbuliwa na uraibu wa punyeto? Unajaribu kuacha lakini unashindwa? Unataka kujaribu  kuacha ? Unaweza  kujaribu kutumia njia hii hapa  chini : https://neemaherbalist.blogspot.com/2016/10/tiba-ya-asili-ya-kuacha-punyeto-kwa.html

N.B: Njia hii haikufanyi kuacha punyeto  automatically isipokuwa  inaweza  kukusaidia kukulazimisha kuacha punyeto. Ili uweze  kuacha  punyeto  kwa  kutumia njia hii  unatakiwa  wewe mwenyewe  kwanza  uwe na nia ya  dhati  ya  kuacha  vinginevyo njia  hii haitakusaidia.

KUHUSU KUTIBU  ATHARI ZA  PUNYETO: Je  mwanaume  alie  athirika  na  punyeto  anaweza  kutibiwa na kupona kabisa tatizo  lake na kurejea  katika  hali yake ya kawaida? Jibu ni  NDIO!!!  Kufahamu zaidi  kuhusu jinsi  mwanaume alie athirika na punyeto anaweza kupona kabisa  athari  alizo zipata kutokana na punyeto, tembelea link hii  hapa  chini:

https://neemaherbalist.blogspot.com/2019/07/uhusiano-kati-ya-punyeto-na-kusinyaa_14.html

 

Pamoja  na  link hii hapa chini:

https://neemaherbalist.blogspot.com/2015/07/uhusiano-kati-ya-damu-na-tatizo-la.html

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA