|  | 
| Pera | 
Mapera ni matunda yanayo patikana kwa wingi lakini mara nyingi huwa hayapendelewi sana kutokana na ugumu wake wakati wa kuyatafuna pamoja na kuwa na mbegu mbegu nyingi. Hata hivyo matunda haya yana faida kubwa sana kwa afya ya mwili wa mwanadamu.
Zifuatazo ni faida kumi za mapera.
1.
Utajiri  wa  Vitamin  C:
2. Ni  kinga 
nzuri  ya  kisukari. 
Fibre ni muhimu sana katika kupunguza kiasi cha sukari kwenye damu. Vilevile ni muhimu sana katika kuusafisha mfumo wa usagaji
3. Kuimarisha  Uwezo 
Wa  Kuona 
Hivyo basi kama ilivyo kwa karoti, mapera yanasaidia sana katika kuongeza na kuimarisha uwezo w a mtu kuona.
4. Kusaidia  katika 
Uzazi
5. Kurekebisha   Kiwango Cha 
Shinikizo  La  Damu
Ndizi na mapera vina kiwango cha potassium sawa.
6.  Utajiri 
mkubwa  wa  Madini 
Ya Shaba
Tezi za thyroid zisipo fanya kazi vizuri zinaweza kusababisha matatizo mengi ya kiafya kwa mwanadamu.
7.
Utajiri  wa  Madini 
Ya  Manganese
Chakula tunacho tumia kikitumika vizuri mwilini, tunapata virutubisho vyote muhimu kama vile biotini, vitamin nakadhalika..
8.  Kuusadia 
mwili  na  akili 
katika  ku-relax
Mapeara  yana 
utajiri  mkubwa  wa 
madini  ya  magnesium ambayo   hufanya 
kazi  ya  kuvifanya 
akili  na  mwili 
wa  mwanadamu  viweze 
ku  relax.   Unashauriwa  
kutumia  mapera  baada 
ya  kazi  nzito. Hii itasaidia  katika 
kuufanya  mwili  na akili 
yako  kupumzika 
9.  Mapera 
ni  muhimu  katika 
afya  ya akili ya mwanadamu.
Mapera yatasaidia kuufanya ubongo wako u relax.
10. Ni Muhimu Katika Ngozi Ya Mwanadamu.
Vitamin C, viondoa sumu na karotini ambavyo vyote vinapatikana ndani ya tunda la mpera ni muhimu sana katika kuimarisha afya ya ngozi.Kama hiyo haitoshi, kokwa la mpera huwa linatumika katika kutengeneza vipodozi na losheni kwa ajili ya matumizi ya mwanadamu.
KWA  USTAWI  WA 
AFYA  YAKO, ANZA  KUTUMIA TUNDA 
LA  MPERA  SASA.
Comments
Post a Comment