Skip to main content

FAIDA ZA TUNDA LA PERA




Pera

Mapera  ni  matunda  yanayo patikana  kwa wingi  lakini  mara  nyingi  huwa  hayapendelewi  sana  kutokana na  ugumu  wake  wakati  wa  kuyatafuna   pamoja  na  kuwa na  mbegu mbegu  nyingi.  Hata  hivyo  matunda  haya  yana  faida  kubwa sana  kwa afya  ya  mwili wa mwanadamu.
Zifuatazo  ni  faida  kumi za  mapera.

1. Utajiri  wa  Vitamin  C:


Mapera  ya  utajiri  mkubwa wa  Vitamin C ambayo  ni  muhimu  sana  katika  mwili  wa  mwanadamu.


2. Ni  kinga  nzuri  ya  kisukari.



Ulaji wa  watu wengi  unawaweka  katika   hatari  ya  kupatwa  na  ugonjwa  wa  kisukari  lakini  matumizi  ya  mapera  yatakupunguzia   hatari  ya  kupatwa na  ugonjwa  wa  kisukari Hii  ni  kwa  sababu mapera  yana  utajiri  mkubwa  sana  wa  Fibre. 
Fibre  ni  muhimu  sana  katika  kupunguza  kiasi  cha  sukari  kwenye  damu.  Vilevile   ni  muhimu sana  katika kuusafisha  mfumo wa  usagaji 

3. Kuimarisha  Uwezo  Wa  Kuona 


Mapera  yana  utajiri  mkubwa  sana  wa  Vitamin  A  au  Retinol  ambayo ni  muhimu  sana  katika  kusaidia  kuona  vizuri.
Hivyo  basi  kama  ilivyo  kwa  karoti, mapera  yanasaidia   sana  katika  kuongeza  na  kuimarisha  uwezo w a  mtu  kuona.


4. Kusaidia  katika  Uzazi


Mapera  yana  madini  yaitwayo  Folate  ambayo husaidia  katika  kurutubisha  mayai ya  uzazi..


5. Kurekebisha   Kiwango Cha  Shinikizo  La  Damu


Madini  ya  Potassium  yaliyomo  ndani  ya  mapera  yanasaidia  katika   ku-normalise  shinikizo  la damu ( Blood  Pressure )
Ndizi na  mapera  vina  kiwango  cha  potassium sawa.


6.  Utajiri  mkubwa  wa  Madini  Ya Shaba


Mapera  yana madini  ya shaba  ( Trace  element copper )  ambayo  ni  mazuri  sana  katika  ku- maintain  ufanyaji  kazi  wa   tezi  ziitwazo  thyroid.
Tezi  za  thyroid  zisipo  fanya kazi  vizuri  zinaweza  kusababisha matatizo  mengi  ya  kiafya  kwa mwanadamu.


7. Utajiri  wa  Madini  Ya  Manganese


Mapera  yana  utajiri  mkubwa  wa madini  ya  manganese  ambayo  yanausaidia  mwili   katika  kunyonya  ama  kupata virutubisho  muhimu  kutoka  kwenye  vyakula tunavyo kula.
Chakula  tunacho tumia  kikitumika vizuri mwilini, tunapata  virutubisho  vyote  muhimu  kama  vile biotini, vitamin  nakadhalika..

8.  Kuusadia  mwili  na  akili  katika  ku-relax

Mapeara  yana  utajiri  mkubwa  wa  madini  ya  magnesium ambayo   hufanya  kazi  ya  kuvifanya  akili  na  mwili  wa  mwanadamu  viweze  ku  relax.   Unashauriwa   kutumia  mapera  baada  ya  kazi  nzito. Hii itasaidia  katika  kuufanya  mwili  na akili  yako  kupumzika


9.  Mapera  ni  muhimu  katika  afya  ya akili ya mwanadamu.



Vitamin B3, Vitamin B6  ambazo  zinapatikana  ndani  ya  tunda  la  mpera   muhimu  katika  kuimarisha  afya  ya  akili ya mwanadamu.
Mapera  yatasaidia  kuufanya  ubongo wako   u  relax.


10. Ni Muhimu  Katika  Ngozi  Ya Mwanadamu. 

Vitamin C, viondoa  sumu  na  karotini   ambavyo  vyote  vinapatikana  ndani  ya  tunda  la  mpera  ni  muhimu  sana  katika  kuimarisha  afya  ya  ngozi.
Kama  hiyo haitoshi, kokwa  la  mpera  huwa  linatumika  katika  kutengeneza  vipodozi na  losheni  kwa  ajili  ya  matumizi  ya  mwanadamu.

KWA  USTAWI  WA  AFYA  YAKO, ANZA  KUTUMIA TUNDA  LA  MPERA  SASA.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA