Skip to main content

TIBA ASILIA YA KUACHA KUVUTA SIGARA.

Sigara
JINSI   YA  KUACHA  SIGARA KWA  TIBA  ASILIA
Mwaka  mpya  wa  2014  ndio  umeanza hivyo. Je  moja  kati  ya  malengo  yako  ya  mwaka  huu, ni  kuacha  kuvuta  sigara ?  Kama jibu  ni  ndio, umepanga  kutumia  njia  gani  ili  kutimiza  lengo  lako  hilo?
 Umepanga  kutumia  dawa  za  kizungu  zilizo  tengenezwa kwa  kemikali  kama  vile  Nicotine  Replacement  Products au  Cold  Turkey ?
Umepanga  kutumia  dawa  za  asili  kama  vile Kudzu  ama  Mkataasigara ? 
Au  utaweka  nadhiri  ya  kuachana  kabisa  na  suala  la  uvutaji  sigara?
Uvutaji  wa  sigara   unachukuliwa  kama  moja  wapo  kati  ya  vyanzo  vikuu  vya  vifo  duniani.
Kitu  kizuri  kuhusu  kuacha  sigara, ni kwamba, unaweza  kuacha  sigara  wakati  wowote  ule, haijalishi umekuwa  ukivuta  sigara  kwa  muda  mrefu  kiasi  gani kwani  tafiti  mbalimbali  za  kisayansi  zina eleza  kuwa, pindi  tu  utakapo  acha  kuvuta  sigara, mapafu  yako  yataanza  ku repair  athari  zilizo  sababishwa  na  uvutaji wa  sigara  na  hatimaye  kurudi  katika  hali  yake  ya  kawaida  kana  kwamba  haukuwahi  kujihusisha  na  uvutaji  wa  sigara.

Zipo  njia  mbalimbali  za  kusaidia  kuachana  na  uvutaji wa  sigara  zikiwemo   njia za  matumizi  ya  dawa  za  kizungu  na  zile  za  asili.
Kama  unataka  kuachana  na  matumizi  ya  sigara   kwa  njia  za  asili, tumia  vitu  vifuatavyo :
1.     Mbegu  za   Oti

Mbegu za  Oti zina  kiasi  kikubwa  sana  cha  fibre, omega-3  fatty  acids, madini  ya  Potassium  na  folate.

Utumiaji  wa  mbegu  za  Oti  utasaidia  katika kupunguza  kiasi  cha  kolestrol  mbaya pamoja  na  kusafisha  arteries, jambo  linalo  saidia  kupunguza  uwezekano  wa  kushambuliwa  na  magonjwa  ya  moyo.

Vile vile, mbegu  za  Oti  zina  kemikali  zijulikanazo  kama  Avenathramides  ambazo  zinasaidia  kupunguza  stress, kuimarisha  mfumo  wa  neva, na kupambana  na  shinikizo  la  damu. 

Faida  zote  hizi  ni  muhimu  sana  kwa  wavutaji  sigara  ambao  wapo  katika  hatari  kubwa  ya  kupatwa  na magonjwa  ya  moyo.

Utumiaji  wa  mbegu  za  Oti  unaweza  kumsaidia  moja  kwa  moja  mvuta  sigara  kuacha  kuvuta  tena  kwani  unamsaidia  mtumiaji  kutokuwa  na  hamu  ya  kuvuta  sigara.

2.      PILIPILI  KICHAA
Utumiaji  wa  pilipili  kichaa  ni  dawa  nzuri  sana  itakayo  kusaidia  kuachana  na  uvutaji  sigara.

Pilipili inasaidia  kuusafisha  mfumo  wa  upumuajina  kuufanya  usiendelee  kuwa  sensitive  na  addictive   na  tumbaku  na  hivyo  kukusaidia  kuondoa  kiu  ya  kuvuta  sigara. 

Unashauriwa  kutumia  walau  pilipili  kichaa  moja  kwa  siku.

Unaweza  kutumia  kwenye  chakula  au  kwa  kuila  nzima  nzima.  

Ili  kupata  matokeo  ya  haraka  na  uhakika  zaidi, chukua pilipili  kichaa, ikate  kate  katika  vipande   vidogo  vidogo, kisha  iweke  kwenye  glasi  ya  maji  ya  moto, koroga  na  kunywa.


   Fanya  hivyo  mara  moja  kwa  siku  kwa  muda  wa  siku  ishirini  na  moja, na  kwa  hakika, utaachana  kabisa  na  utumiaji  wa  sigara.

3.         GINSENG  :  Mmea  wa  Ginseng  umethibitishwa  kisayansi  kuwa  na  uwezo  wa  kupambana  na  kemikali  iitwayo Neurotransmitter  Dopamine  ambayo  inasababishwa  na   Nicotine.
Dopamine   ndio  inayo  mfanya  mtu  ajisikie  raha  baada  ya  kuvuta  sigara na  kumfanya  kuwa  addicted  na  nicotine. 
Kijiko  kimoja  cha  chai  cha unga  wa  Ginseng  kwa  muda  wa  siku  ishirini  na  moja , kitakusaidia  kuachana  na  uvutaji  wa  sigara.

4.         St.  John’s  Wort  :  Mmea huu  hutumika  zaidi  katika   kutibu  mshuko  wa  moyo, hata  hivyo  imethibitika  kisayansi  kuwa, mmea  wa  St. John’s  Wort  una  uwezo  mkubwa  sana  wa  kuwasaidia  watu  kuacha  kuvuta  sigara.

  Katika  utafiti  mmoja, watu  24  wanao  vuta  sigara  moja  au  zaidi  kwa  siku, walipatiwa   dawa  hii  mara  mbili  kwa  siku, pamoja  ushauri  nasaha.  Baada  ya  wiki  kumi  na  mbili, watu  9  kati  yao  walifanikiwa  kuacha  sigara.

5.      HERBAL  CIGARETTES
Herbal  Cigarrettes  zinaweza  kutumika  kama  mbadala  wa   sigara  za  kawaida.  Herbal  cigarettes  hazina  kemikali  kali  kama  ilivyo  kwa  sigara  za  kawaida.
 Faida  kubwa  ya  Herbal  Cigarettes ni  kwamba  hazi kufanyi  uwe  addicted.
Herbal  Cigarettes  hazina  Nicotine. Zinatengenezwa  kwa  kutumia  mimea  kama  vile   mint ( mnanaa ), mdalasini na  karafuu.
6.        Lobelia  :  Matumizi  ya  mmea  huu  humsaidia   mtu  aliye  topea  kwenye  uvutaji  wa  sigara  kuweza  kuachana  na  tabia  hiyo  hatarishi  kwa  afya  yake.


7.        Hyssop :  Matumizi  ya  mmea  huu  humsaidia   mtu  aliye  topea  kwenye  uvutaji  wa  sigara  kuweza  kuachana  na  tabia  hiyo  hatarishi  kwa  afya  yake

8.        Valerian : Matumizi  ya  mmea  huu  humsaidia   mtu  aliye  topea  kwenye  uvutaji  wa  sigara  kuweza  kuachana  na  tabia  hiyo  hatarishi  kwa  afya  yake

NINI    KIFANYIKE  BAADA  YA  KUFANIKIWA  KUACHA  KUVUTA  SIGARA. 

Utakapo  fanikiwa  kuachana  na  uvutaji  wa  sigara, ni  muhimu  ukaanza  kufanya  jitihada  za  kujitibu  athari  ambazo  umezipata  kutoka  na  uvutaji  wa  sigara.
Unaweza  kujitibu  athari  ulizo zipata  kutokana  na  uvutaji  wa  sigara  kwa  kufanya  diet  maalumu, mazoezi , meditation  na  kulala  vizuri.  Uvutaji  wa  sigara  huharibu   Vitamin C  mwilini, na  Vitamini  C  ni  muhimu  sana  katika  kupambana  na  sumu  mwilini. 
Hivyo  basi  ni  muhimu  kuongeza  kiasi  chako  cha  Vitamin  C  kwa  angalau  kuanzia  Mg. 5000-20,000 kwa  siku.    Vilevile  Vitamin  E  na  A  ni  muhimu  sana  katika  ku tibu  athari  zilizo sababishwa  na  uvutaji wa  sigara  kwenye  seli na  membranes  zako.
 Madini  mengine  muhimu  ni coenzyme Q10. Madini  haya  ni  muhimu  sana  katika  kulinda  mapafu  na   moyo  huku  yakiongeza  Oygen  kwenye  ubongo  wako.
Kwa msaada  zaidi,tuandikie  :
neemaherbalist@gmail.com  AU  Tupigie   0766538384

Comments

  1. maelezo yako yamenipa matumaini nijukumu langu kuangalia nitafanikiwa kiasi gani shukuran

    ReplyDelete
  2. Unatumiaje mbegu za oti na zikoje!?

    ReplyDelete
  3. Je una bidhaa hizi ambazo umezitaja hapa

    ReplyDelete
  4. jamani nasumbuliwa na matatizo ya vidonda vya tumbo pia nimekuwa mwathirika wa matumizi ya ugoro naombeni ushauri na tiba pia

    ReplyDelete

Post a Comment

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA