Skip to main content

MWALIMU AUWAWA KWA RISASI MBELE YA WANAFUNZI WAKE.

Marehemu  enzi za  uhai  wake
Mwalimu  mmoja  wa  shule  ya  Chekechea  huko  Mpumalanga, South  Africa  ameuwawa  na  mumewe  kwa  risasi  wakati  akijiandaa  kuingia  darasani.
Askari  wakiutoa  mwili  wa  marehemu  tayari kwa  kuupakia  kwenye  gari.

Tukio  hilo lilitokea siku  ya  Jumatatu  ya tarehe 15  AGOSTI  2017.

Imeripotiwa  kuwa, tukio  hilo  la  kinyama  dhidi  ya  mwalimu  huyo  aiyetajwa  kwa  jina  la  Kate Chiloane  mwenye  umri  wa  miaka  30, limetendwa  na  mwanaume  mwenye  umri  wa  miaka 40, ambaye  anadaiwa  kuwa  mume  wa  marehemu.
Inaripotiwa  zaidi  kuwa mtekelezaji  wa  mauaji  hayo  mara  baada  ya  tukio hilo  alienda  hadi  nyumbani  kwake  na  kujiua  kwa  risasi.


Tukio  hili  limeripotiwa  kuzua  mshtuko na  taharuki  kubwa  kwa  wanafunzi  pamoja  na  waalimu  katika  shule  aliyo kuwa  akifanya  kazi  marehemu.
Siku moja  kabla  ya  kuuwawa  kwake, marehemu  kupitia  ukurasa  wake  wa  facebook, aliweka  ujumbe  ulio  someka kama  ifuatavyo :

“Accept your past without regret. Handle your present with confidence. And face your future without fear. “


Mpaka  sasa  bado  haijajulikana  bado  ni sababu  ipi  hasa  iliyo mfanya  muuaji  kufanya  mauaji  hayo, ingawa  watu  wengi  wanaamini  huenda  likawa  limesababishwa  na  wivu  wa  kimapenzi.

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...