Skip to main content

UNAKUBALIANA NA USHAURI WA MREMBO HUYU KUHUSU WANAWAKE WANAO TEMBEA NA WAUME ZA WATU ?



Kwa wale wanaotembea na waume za watu



Goodafternoon...I hope you are all having a splendid weekend.
Straight to the point, this is special for my fellow women and girls.Kuna wadada wanatembea na wanaume za watu but wengine wanatamani kuacha but inakuwa ngumu sana simply because you are in love already and I won't blame you.Ila put yourself in the wife's shoe halaf ujipe majibu.. ( I wont talk much) but pia the worst part inayouma ni kutembea na mume wa mtu and yet you are aware anampenda saaanaa mkewe not to mention kamzalia very beautiful kids and anaipenda sana familia yake na ny**e zake zikizidi anatafta kigenerator chake ambacho ndo wewe anamalizia zingne anaweza kumwachia his lovely wife zingne za usiku ..lol..And still bado unangangania in the name of love or perhaps MONEY as usual but still I won't blame you.Na siku nyingne unasikia baridi usiku au una miny **ge   but mwenzio ndo kakumbatiwa... Hapohapo perhaps kwake hupajui na mkewe humjui anafananaje but ukasearch wewe mwenyew unavyojua kwenye social networks unakutana na jamaaa anavyompost mkewe ad harusi aliweka but wewe unampa utamu gizani ila hadharani wanamjua MKE au pengne anakuintroduce to his foolish friends who are just like him and you feel proud cuz you are a side chick but they see you as the side  b**h huku wanakuchekea chekeachekea kinafiki.

Sasa basi niko na wale tu ambao they don't want this anymore and are really fighting hard kuachana na hii hali but still go back cuz of their reasons or being in love.Darling you are vulnerable and remember age will not wait for you ooooo...mwingne eti ndoa kakuahid so you are waiting lol...if he is willing to leave his wife for you what do you think he will do to you? So just tune your mind to your success .Usiwe idle not for a second because utakua unamuwaza..keep yourself busy maaa focus on your work kama hauna tafta biashara futa namba zake..And learn how to spoil yourself, take yourself out nenda mall kafanye window shopping mind you kwenye malls hakuna hata bei yale ni majengo tu au you go find yourself siku za discount then treat yourself well.Au jifanye shopping sehem ambayo unaridhika mayo.Eat well, fanya mazoezi, jipeleke sehem nzuri have a different lifestyle jipende dada make yourself look good and beautiful and be proud of your feminism..On week days tafta Ankara( pesa) mama usikubali mwanaume akugalagaze kisa pesa kwanza ukitafta kwa Jasho lako you will feel proud kuzitumia na utazitumia kwa adabu.Remember love will come around when least expected na usiwe kikwazo kwa mwanamke mwenzio kwa kuingilia ndoa yake haikuhusu kama ni ya furaha au karaha.
Nawapenda.
  CREDIT  :   Jamii  Forums


                  MAKALA  NYINGINEZO

JINSI  KISUKARI  KINAVYO  SABABISHA  MARADHI  YA  NGUVU  ZA  KIUME


JINSI  KITAMBI  KINAVYO PATIKANA  NA  JINSI  UNAVYO WEZA  KUKIONDOA  KWA  TIBA  ASILIA


JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME

IJUE  SAYANSI  YA  NGUVU  ZA   KIUME

UHUSIANO  KATI  YA  UNENE  ULIO  ZIDI  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZAP  KIUME


KISA  UGONJWA  WA  KISUKARI  MWANAMKE  AMKIMBIA  MUMEWE  WA  NDOA  NA  KWENDA  KUISHI  NA  JIRANI


KUTANA  NA  MWANAMKE    AIYE  JITOLEA  KUMTIBU   MUMEWE  MARADHI  YA  AJABU


PUNYETO  ILISABABISHA  NINUSURIKE  KWENDA  JELA

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA