Skip to main content

NITAPENDA KUOLEWA NA MWANAUME ANAYE JIWEZA KITANDANI





Mwanadada  Linda  Ikeji  ( 36 ) ambae  ni  blogger  mwenye  mafanikio  makubwa  huko  nchini  Nigeria, amewaacha  watu  midomo  wazi, mara  baada ya  kujibu swali  kuhusu  aina  ya  mwanaume  atakae  penda  kuolewa  nae.









Akijibu  swali  la  mwandishi  wa   Vanguard, jarida  maarufu  la  habari  za  masupastaa nchini  Nigeria, kwamba   utakapo  fika  wakati  wake  wa  kuolewa, atapenda  kuolewa  na  mwanaume  wa  aina  gani  au  mwenye  sifa  zipi,  Linda  alijibu  “














“   Nitapenda  kuolewa  na  mwanaume  mwenye  sifa  kuu  mbili, sifa  ya  kwanza, awe  amaefanikiwa  kwenye  field  yake  ili  niweze kupata  kitu  cha  kujifunza  na  kujivunia  kutoka  kwake, lakini  sifa  ya  pili, lazima  awe  anajiweza  kitandani.  Siwezi  kabisa  kuolewa  na  mwanaume  ambae  hawezi kuniridisha  kitandani  “















Kusoma  mahojiano  ya  mwanadada  huyu, tafadhali tembelea  :



Maneno  ya  Linda  Ikeji  yanaonekana  kushabihiana  na matokeo  ya  uchunguzi  wetu. Uchunguzi  wetu  umetuwezesha  kugundua  kuwa, kutokuwa  na  uwezo  wa  kuwaridhisha  wapenzi  wao  kitandani, ni moja  kati  ya  sababu  kubwa  zinazo  wafanya  wanawake  wengi  kutoka  nje  ya  mahusiano  yao au kuyavunja kabisa !

Kutokuwa  na  uwezo  wa  kumridhisha  mwanamke  kimapenzi  kuna sababishwa  kwa  kiasi  kikubwa  na  tatizo  la  ukoseefu  na  ama  upungufu  wa nguvu za  kiume  ambalo  linazidi kushamiri  katika  jamii  yetu.

Kufahamu  jinsi  tatizo  la  ukosefu  na  ama  upungufu  wa  nguvu  za  kiume, linavyo  tokea  na  jinsi  unavyo  weza  kulidhibiti, tembelea  :

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...