Skip to main content

JINSI YA KUONDOA SUGU NA WEUSI WA KWENYE NGOZI YA MAGOTI NA NYUMA YA MIKONO


Image result for weusi kwenye magoti images

Weusi  kwenye  ngozi  ya  magoti  na  kwenye  viwiko  vya  mikono  ni  jambo  linalo  wakera  wanawake  wengi.

Unaweza   kun’garisha  ngozi  ya  kwenye  magoti  na  nyuma   ya  mikono  kwa  kutumia  dawa  asilia zifuatazo :

1.     MAFUTA  YA  MZEITUNI  NA  SUKARI.
Chukua  vijiko  vikubwa  vine  vya  mafuta  ya  mzeituni  kisha  changanya  na  kijiko  kikubwa  cha sukari  kimoja  halafu  tumia  kupaka  kama scrub  kwenye  magoti  au nyuma ya  mikono  kisha  tumia  kuchua  kwa  muda  wa  dakika  tatu  mpaka  tano halafu  kaa  kwa  muda  wa dakika thelathini  kisha  nawa kwa  maji  ya  uvugu  vugu. Utafanya  hivyo  mara mbili kwa siku  asubuhi  na  jioni  kwa  muda  wa siku  thelathini.


2.     JUISI  YA ALOVERA
Paka  fresh  juice  ya  rozera  kwenye ngozi  ya  goti  halafu  iache  kwa  muda  wa  nusu saa kisha tumia  kusafisha kwa maji  ya  moto au  vuguvugu.Utafanya  hivi  kwa   mara  mbili  kwa  siku  asubuhi  na  jioni  hadi  ngozi  yako  itakapo  anza  ku’ngaa.

3.     BINZARI  MANJANO, ASALI  NA MAZIWA
Chukua  binzari  ya  manjano  kijiko  kimoja  kikubwa,  asali  vijiko vine  vya  chakula na  maziwa  fresh  vijiko  vinne  vikubwa  vya  chakula.  Vichanganye  vyote  kwa  pamoja  kisha  tumia kupaka  kwenye  magoti  halafu  iache  kwa  muda  wa  dakika thelathini  kisha  naw  kwa  maji  ya  uvugu  vugu. Utafanya  hivyo  mara  mbili  kwa siku  asubuhi  na  jioni hadi  utakapo pata  matokeo  utakayo  ridhika  nayo


4.     NDIMU

Kata  kipande  cha  ndimu  kisha  tumia  kusugua  kwenye  magoti.  Goti  moja  kwa  kila  kipande.  Sugua  kwa  muda  wa  dakika  tatu  hadi  tano kisha  kaa  nayo  kwa  muda  wa lisaa limoja . Utafanya  hivyo  mara  mbili  kwa  siku  asubuhi  na  jioni  hadi  utakapo  pata matokeo utakayo ridhika  nayo.



MAKALA  NYINGINEZO

JINSI  KISUKARI  KINAVYO  SABABISHA  MARADHI  YA  NGUVU  ZA  KIUME


JINSI  KITAMBI  KINAVYO PATIKANA  NA  JINSI  UNAVYO WEZA  KUKIONDOA  KWA  TIBA  ASILIA


JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME

IJUE  SAYANSI  YA  NGUVU  ZA   KIUME

UHUSIANO  KATI  YA  UNENE  ULIO  ZIDI  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZAP  KIUME


KISA  UGONJWA  WA  KISUKARI  MWANAMKE  AMKIMBIA  MUMEWE  WA  NDOA  NA  KWENDA  KUISHI  NA  JIRANI


KUTANA  NA  MWANAMKE    AIYE  JITOLEA  KUMTIBU   MUMEWE  MARADHI  YA  AJABU


PUNYETO  ILISABABISHA  NINUSURIKE  KWENDA  JELA

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA