Skip to main content

SEMINA YA UJASIRIAMALI.





Je  wewe  ni   mjasiriamali  mdogo?  Unataka  kujiajiri  na  kuongeza  kipato  chako  ?  Kama  jibu  ni  ndio  basi  hii  ni  habari  njema  sana  kwako.
Neema  Herbalist  &  Nutritional  Foods  Clinic  kwa  kushirikiana  na    mashirika  rafiki, inakualika  kushiriki  katika  SEMINA  YA  UANDAAJI,UTAYARISHAJI  NA  UTENGENEZAJI  WA  VYAKULA-LISHE   MAALUMU  KWA  WATU  WENYE  MATATIZO  MBALIMBALI  YA  KIAFYA .
Masomo  yatakayo  fundishwa  katika  semina  hii, ni  pamoja  na  Utengenezaji, Uandaaji  na  Utayarishaji  wa  vyakula  -lishe  maalumu  kwa  watu  wenye   magonjwa  na  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya  kama  vile :
1.           Ukosefu  wa  nguvu  za  kiume.
2.          Ukosefu  wa  ashkhi  ya  tendo  la  ndoa  kwa  wanawake.
3.          Kupunguza  uzito  na  unene.
4.          Presha  na  kisukari.
5.          Vidonda  Vya  Tumbo.
6.          Matatizo  ya  uzazi  kwa  wanawake  na  wanaume.
7.          Pumu  na  mzio  (aleji )
8.          Kolestrol
9.          Harufu  mbaya  ya  kinywa
10.       Presha  na  kisukari.
11.         Magonjwa  ya  ngozi.
12.       Magonjwa  ya  wanawake  na  watoto

Pamoja  na  magonjwa  mengine  mengi.

ADA  YA  KUSHIRIKI  KATIKA  SEMINA  HII: Ni  shilingi  ELFU  KUMI  NA  TANO  TU.
MAHALI    :  Semina  hii  itafanyika  katika  Ukumbi  wa  SINZA  CHRISTIAN  CENTRE  uliopo  katika  eneo  la  SINZA  PALESTINA.

LINI  :  Semina  itafanyika  siku  ya  JUMAMOSI  ya   Tarehe  12  APRILI  2014   kuanzia  saa  5 kamili  asubuhi  hadi  saa  5  kamili  alasiri.

WASHIRIKI  WOTE  WA  SEMINA, WATASAIDIWA  JINSI  YA  KUANZISHA  NA  KUENDESHA    BIASHARA  YA  KUTOA  HUDUMA  YA  VYAKULA-LISHE  KWA  WATU WENYE  MATATIZO  MBALIMBALI  YA  KIAFYA.

Kujiandikisha  katika  semina  hii, andika  barua  pepe kwenda :  neemaherbalist@gmail.com
Au    PIGA  simu  :  0766538384.


  WAHI   KUJIANDIKISHA  MAPEMA, KWANI  NAFASI  ZILIZOPO  NI  CHACHE
.

Comments