Skip to main content

Tukio la ujambazi Kinondoni Morocco, Majambazi wapora fuko la pesa






Tukio limetokea muda mchache uliopita pale Moroko. Watu waliokuwa kwenye gari waliwarushia risasi watu wa gari nyingine na kukwapua fuko la pesa na kutoweka nazo.

CHANZO  :  JAMII  FORUMS

Comments