Skip to main content

NGUVU YA MAUA KATIKA KUIMARISHA UTULIVU WA AKILI NA NAFSI YA MWANADAMU:





Bustani  ya  Gethsemane.  Hapa  ni mahali ambapo  Yesu Kristu  na  wanafunzi  wake  kama vile  Petro, Yakobo  na   Yohana  walifika  kwa  ajili  ya  kufanya  sala  na  maombi.
Huko  uchina  ya  kale  kulikuwa  na  msemo  usemao    Kama  una  mikate  miwili, uza  mmoja  na  pesa  utakayo  ipata  itumie  kununua  Maua “.   Hapa  kwetu  Tanzania, miaka  ya  tisini  na  kushuka  chini  kulikuwa  na  imani  iliyo  jengeka  miongoni  mwa  watu  wengi  kuwa  maua  huwavuta  malaika  wazuri ama  ni  makazi  ya  malaika  wazuri  na  huleta  bahati  nzuri. Tulikuwa  tukiamini  kuwa, wazungu  hupendelea  kupanda  maua  mazuri  kwenye  nyumba  zao  ili  kuwavutia  malaika  wazuri  kwa  ajili  ya  kuzilinda  nyumba  zao  dhidi  ya  mambo  mbalimbali  mabaya.
 Tukirudi  kwenye  maandiko  matakatifu, ni  maua  ndiyo  yanayo  tajwa   kuufunika  utukufu  wa   Mfalme   Suleiman. 

  "  Lakini nawaambieni, hata Solomoni mwenyewe na fahari zake zote hakupata kuvikwa vizuri kama ua mojawapo.  Mathayo  6 : 29 "

Maua  ni  rafiki  mzuri  wa  watoto. Tafiti  mbalimbali zinaeleza  kuwa  kuwalea  na  kuwakuza  watoto  katika  mazingira  yenye  maua  mazuri  ni  jambo zuri  na  lenye  faida  kubwa  sana  kwa  afya  ya  makuzi ya  mtoto  kuliko  kutoku fanya  hivyo.

Vilevile watoto  wanao  soma  katika  shule  zenye  mazingira  mazuri  na  yenye  maua  mazuri  ya  kupendeza, hufurahia  zaidi  masomo  jambo  linalo  wafanya  wawe  na  ari  ya  kujifunza  vizuri  na  kufaulu  vyema.
 

Tafiti  mbalimbali  za  kisayansi  zinaeleza  kuwa  maua  yana  nguvu  kubwa  sana  katika  uponyaji  wa  akili  na  nafsi  (  mind  &  soul )  ya  mwanadamu. Kuna  connection  kubwa  sana  kati  ya  utulivu  wa  akili  ya  mwanadamu  na  maua.  Katika  maua, kuna  nguvu  kubwa  sana  na  ya ajabu ambayo  ina   very sensitive  connection  na  akili & nafsi  ya  mwanadamu.   Hata  Yesu  Masiha    na  wanafunzi  wake  kama  Petro, Yakobo  na  Yohana  walikuwa   walikuwa  wakipendelea kwenda  kufanya  maombi  kwenye  bustani  ya  Gethsemane  ambayo  inatajwa  kuwa  na  maua  mazuri  na  yenye  kupendeza.

Maua  yakitumika  vizuri  yanaweza  kuwa  chachu  kubwa    sana  katika  maendeleo  ya   maisha  ya  mwanadamu  kwa sababu  yana  ifanya  akili na  nafsi  ya  mwanadamu kuwa  na  utulivu  mkubwa, na  siku  zote  akili  yenye  utulivu  mkubwa  ndio  inayo  weza   kufanya  maamuzi makubwa  na  mazuri.

Kama    nyumba  yako ina  nafasi  ya  kutosha, unashauriwa  kupanda  maua  ya  aina  mbalimbali. Kuishi  katika  nyumba  iliyo  na  bustani  yenye  maua mazuri  kutaifanya  nyumba  yako  kuwa  sehemu  nzuri, tulivu  na  yenye  kuvutia  sana, jambo  litakalo  kufanya  uwe  na utulivu  wa  akili  na  furaha  isiyo  mithilika  pindi  uwapo  katika  mazingira  ya  nyumbani  kwako.

Inaelezwa  kuwa, maua  yana  nguvu ya  ajabu  inayo weza  kuwa  tiba  kwa  watu  wanao  kabiliwa  na  matatizo  mbalimbali  ya  kisaikolojia.

Kama  hiyo  haitoshi, maua  yanaweza  kutumika   kuwasilisha  ujumbe   kuhusu  mambo  mbalimbali kama   vile  mapenzi, furaha, huzuni  nakadhalika.. 

Malkia  Cleopatra  wa Misri  ya  kale, alitumia  maua  kufikisha  ujumbe  wa  mapenzi  kwa  waume  zake.

Kupitia  blogu  hii, tutakuwa  tunaweka  aina  mbalimbali  za  maua  pamoja  na  mambo  ambayo  maua  haya  yanayawasilisha.   

Kwa kuwa  kuna  maua  ya  aina  nyingi  sana. Haitakuwa  rahisi  kwetu  kuyaweka  yote  kwa  siku moja, hivyo  basi  tutakuwa  tukiweka  taarifa  kuhusu  maua  kadhaa  kila  siku.






Rose  Thornless  =    Love  at  First  Sight.
Pichani  ni  Bibi  Harusi  akiwa  ameshikilia  shada  lenye  maua  ya  aina  mbili, aina  ya  kwanza ni  maua  yaitwayo   Stephanotis ( Hayo  ya  Rangi  Nyeupe  )  ambayo  yanamaanisha   Furaha  katika  Ndoa, Uamuzi  wa  Kusafiri ( Ndoa  ni  Safari  )  pamoja  na  Bahati  Nzuri. Aina  ya   pili  ni  hayo  ya  rangi  nyekundu  ambayo  huitwa    Rose  Thornless  ambayo  yanamaanisha  LOVE  At  First  Sight.
Stephanotis    =   Happiness in Marriage, Desire to Travel, Good Luck


Tulip  : Love, Symbol of the Perfect Lover

Forget me Not =  It speak  for  itself : Unaweza  kutumia  maua  haya  kutuma  ujumbe  kwa  mpenzi  wako  au  mtu  yoyote  muhimu, ukimuomba  asikusahau. Watu  wanao  fahamu  maana na  matumizi ya  maua  mbalimbali hutumia  maua  kufikisha  ujumbe.



Violet  = Modesty, Faithfulness, Simplicity

Bittersweet  = The  Truth  :  Maua  haya  yanamaanisha  ukweli. Sababu  inayo  yafanya  maua  haya  kuwakilisha  ukweli ni  kwa  sababu    ya  ladha  yake  chungu.  

Frangipani   =  Shelter, Protection


Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA