|
Mikakati
yetu.
•
Kuwaongoza wanafunzi katika maadili mema.
• Kuwaongoza wanafunzi katika kutambua umuhimu wao.
• Kuendeleza uwezo walionao wanafunzi wa kutambua fursa mbalimbali katika
maisha.
• Kuwasaidia wanafunzi katika kutambua majukumu yao katika jamii.
• Kuwapa wanafunzi uwezo wa juu katika kuelimika.
• Kuandaa mazingira mazuri kwa wanafunzi kupata elimu.
Wafanyakazi
Waalimu
wote wana shahada. Pia wapo walezi wa watoto (matron) na nesi (muuguzi),
mpokea wageni (receptionist), wapishi na walinzi.
Huduma
zilizopo
•
Jengo la utawala, madarasa, bwalo la chakula, mabweni, maabara na jiko
lenye huduma ya LPG.
• Mabomba ya maji ya dawasco na maji ya kisima hivyo hakuna tatizo la maji.
• Umeme wa Tanesco pia jenereta hivyo upatikanaji wa umeme ni wa uhakika.
• Uwanja wa michezo, basketball, netball na handball.
• Shule ina fensi.
• Tuna vifaa vya huduma ya kwanza.
• Maabara ya kompyuta
• Chakula bora
Mazingira
•
Bustani asilia, mazingira mazuri ya kusomea na kwa malezi ya mtoto.
• Eneo wazi na tulivu lenye mzunguko mzuri wa hewa.
Jinsi
ya kujiunga
Tunapokea
wanafunzi kila Jumatatu hadi Ijumaa kwa ajili ya Interview (Usaili). Usaili
unafanyika shuleni na Fomu zinatolewa hapa shuleni na Msimbazi Centre au
kwenye tovuti yetu www.gilisecondary.ac.tz .
Kwa
usaili na jinsi ya kufika shuleni wasiliana nasi kwa namba:-
PRE FORM ONE INAANZA 1 OKTOBA 2013
KARIBUNI
|
Comments
Post a Comment