Skip to main content

JINSI YA KUONDOA VINYWELEO VYA MIGUUNI KWA WANAWAKE.


Pichani  mwanamke  akiondolewa  vinyweleo  kwa  nta  ya  asali/

JINSI   YA   KUONDOA   VINYWELEO  VYA  MIGUUNI  KWA  WANAWAKE.
Kuwa  na  vinyweleo  sio  tatizo  la  kiafya. 

Hata hivyo,  linapo  kuja  suala  la  urembo, kuwa  na  vinyweleo  vingi  sehemu  za  miguuni  ni  jambo  linalo  weza kuwa kwaza    wanawake  wengi  ingawa  sio  wote.
Nasema  sio  wote  kwa  sababu    wapo  wanawake  ambao  vinyweleo  vya  miguuni  vinawafanya  wawe  na  mvuto  wa  hali  ya  juu  sana.

Katika  kuthibitisha  hilo, wapo  wanaume  wengi  tu  ambao  wanavutiwa  sana  na wanawake  wenye  vinyweleo  vya  miguuni.

Hivyo  basi  suala  la  eidha  vinyweleo   vya  miguuni  huwafanya  wanawake  kuvutia  ama  kuto  kuvutia  ni  suala la  mtu  na  mtu.

Kama  wewe  ni  mwanamke  mwenye  vinyweleo  miguuni  na  unataka  kuviondoa,  ipo  dawa  nzuri  ya  asili  inayo  weza  kukusaidia.

Dawa   hii  inajulikana  kama    NTA  YA  SUKARI    au  “ NTA  YA  KIAJEMI “  na  ni  maarufu  sana  katika  nchi  za    Mashariki  ya  Kati.

Inaelezwa  kuwa, aina  hii  ya  urembo  imeanza  kutumika  huko  Uajemi  (  Irani  )  tangu  enzi  za  kale.
Wataalamu  wa  masuala   ya  vipodozi  katika  nchi  za  Ulaya  na  Marekani  wameithibitisha  dawa  hii  kuwa   effective  kwa  kiwango  cha  hali  ya  juu  sana.

Vipodozi  vingi  vya  kizungu  vina  madhara  makubwa  kuliko  faida , kwa  sababu  vina  kemikali   mbaya  kama  vile  toxins,  hormone  disruptors  na  hata  pesticides  ambavyo  vyote  kwa  pamoja   vina  athari  mbaya    kwa  afya  ya  mwanadamu. 

Ndio  maana  unashauriwa  kutumia  njia   hii  ya  asili  ambayo  haita  hatarisha    afya  yako   wala   fedha  zako  kwani  ni    rahisi  na  yenye  gharama  nafuu.  Kwa  mujibu  wa  kitabu
   Habiba’s  Diary  of  the  Middle  Eastern   Countries    urembo  huu  wa  nta  ya  asali  unatumika   zaidi   katika  nchi  za  Misri  na  Lebanon
 Tazama  hapa  chini  namna  ya  kutengeneza  “ Nta  Ya  Asali “  ambayo  hutumika  kuondoa  vinyweleo.

MAHITAJI :
i.                    Sukari   nyeupe  au  ya  kahawia  kikombe  kimoja.
ii.                   Maji   vijiko  viwili  vya  chakula.
iii.              Juisi  ya  Limao kijiko  kimoja  na  nusu  cha   chakula.
iv.               Chumvi  (  Optional  )  kijiko  kimoja  cha  chai.

MATAYARISHO   YAKE  :

Changanya   vitu  vyote  vilivyo  orodheshwa  hapo  juu  kwenye  sufuria  na  upashe  kwenye  moto wa kiasi. 

Acha  mchanganyiko  wako  utokote  pamoja  hadi utakapo  onyesha  rangi  ya  kahawia.

Koroga  mchanganyiko  wako  taratibu.  

 Hakikisha  chembe chembe  zote   za  sukari  zinayeyuka.

Baada  ya  kama  dakika  nane  hivi,   mchanganyiko  wako  utabadilika  na  kuwa  kama  syrup. 

 Kuwa  muangalifu, usiuache  uungue, uipue  mara    utakapo  kuwa  na  rangi  ya  kahawia  nyeusi.

Ukisha  onyesha  rangi  nyeusi, zima  moto  au  ipua  kwani  nta  yako  itakuwa  imekamilika. Iache kwa  dakika  kadhaa  ili  ipoe.

MATUMIZI :
Tumia  kujipaka  kwenye  sehemu  zenye  nywele, mara  mbili  kwa  siku  asubuhi  na  jioni. Fanya  hivyo  mpaka  nywele  zitakapo  koma  kuota  ama  kutokea  kwenye  eneo  husika.

MUHIMU  :  Unashauriwa   kuiweka  nta  yako  kwenye  chombo  cha  plastiki  na  kuihifadhi  kwenye   friji.  Na  utakapo  hitaji  kuitumia  tena, ichemshe  kwa  sekunde  kumi  tu kwenye  jiko  la  gesi , jiko  la  mafuta  au  microwave.

KWA  MSAADA  WA  MATIBABU  YA  MATATIZO  MBALIMBALI  YA  KIAFYA  KWA  NJIA  YA  DAWA  ZA  MIMEA, FIKA  NEEMA  HERBALIST  FOUNDATION. Tunapatikana  katika  eneo  la  CHANGANYIKENI  karibu  na  CHUO  CHA  TAKWIMU. Kwa  maelezo zaidi, wasiliana  nasi  kwa  simu  0766538384.

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA