Skip to main content

TETESI : RONALDINHO GAUCHO KUJENGA HOSPITALI MKOANI SINGIDA



Ronaldinho  Gaucho

Habari  kutoka  kwenye  chanzo  cha  kuaminika  ambazo  bado  hazijawa  rasmi, zinasema  kuwa,  Mwanasoka mahiri  wa  Brazil  Ronaldinho  Gaucho  yupo  mbino  kutoa   msaada  wa  fedha  zitakazo  tumika  kwa  ajili  ya  ujenzi  wa  hospitali  katika  mkoa  wa  Singida.
 Chanzo  chetu  cha  taarifa  kinasema  kuwa, Ronaldinho  amefikia  uamuzi  huo  baada  ya  kushawishiwa  na  shangazi yake  ambaye  ni  Sista  wa  Kanisa  katoliki  anayefanya  kazi  kwenye  shirika  moja  linayo  jihusisha  na  misaada  kwa  wagonjwa  na  watu wenye  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya  ambalo  hufanya  kazi  Tanzania  pia.   
Habari  zaidi  zinasema  kuwa  Sista  huyo  kwa  sasa  bado  yupo  mkoani  Singida  akiwa  anafanya  kazi  mbalimbali    chini ya  shirika lake.

KAMA  TETESI  HII  ITAKUWA  NA  UKWELI  NDANI  YAKE, BASI  LITAKUWA  NI  JAMBO  JEMA  SANA . LETS  WAIT  AND  SEE

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...