Skip to main content

MWANAMKE MWENYE NDEVU AELEZEA CHANGAMOTO ANAZO KUTANA NAZO.



Queen Okafor
MWANAMKE  MWENYE  NDEVU  AELEZEA   CHANGAMOTO  ANAZO  KUTANA  NAZO.
Queen  Okafor ( 26 )  ni  mzaliwa  na  mwenyeji wa  jimbo  la  Anambra  nchini  Nigeria.  Mwanamke  huyu ni  mmojawapo  kati  ya  wanawake  wachache  duniani  wanao  kabiliwa  na  changamoto  ya  kuwa  na  ndevu  & garden love.   Akifanya  mahojiano  na   mtandao  mmoja  nchini  Nigeria, anasema  yeye  amerithi  hali  hii  kutoka  kwa  mama  yake  mzazi.  “  Nyumbani  kwetu  tumezaliwa  watano, wasichana  watatu  na  wavulana  wawili. Hali  ya w asichana  kuwa  na  ndevu  katika  familia  yetu  ni  jambo  la  kawaida “  Anasema   Queen.
Anaendela  kwa  kutaja  changamoto  anazo  kutana  nazo  kutokana  na  hali  yake  hiyo  ya  kimaumbile.


Queen  Okafor

Nakutana  na  changamoto  nyingi  sana. Miongoni  mwazo ni  pamoja  na  :
i.               Watu  kunishangaa  sana  kila  ninapokuwa  katika  maeneo  ya  public  kama  vile  kwenye  daladala  na  kwenye  matembezi  yangu  ya  kawaida.
ii.            Usumbufu  mkubwa  sana  kutoka  kwa  wasagaji  na  mashoga . Mashoga   huniona  kama  mwanaume  shoga. Nakumbuka  kuna  mwanaume  mmoja  anaye  jihusisha  na  mapenzi  ya  jinsia  moja  aliwahi  kunifuata  na kunipa  NAIRA  LAKI  TANO  ili  aniingilie  kinyume  na  maumbile. Hata  hivyo  nilimkatalia  kata  kata.



Kwa  upande  wa  wanawake  wasagaji, wao  wanasema  ninavutia  kama  mwanamke  na  kama  mwanaume, na  wamekuwa  wakinifuata  sana , wakiomba   nitoke  nao  kimapenzi  huku  ahadi  zao  zikiwa  ni  lukuki, lakini  hata  hivyo  nimekuwa  nikiwakatalia  kata  kata  kwa sababu  mimi  nimezaliwa  na  kuelelewa  katika   familia  yenye  maadili  ya  kikrsito.



iii.          Changamoto  nyingine  ambayo  ndio  kubwa  zaidi , ni  vitisho  kutoka  kwa  watu  wnao  jihusisha  na  kafara  (  RITUALISTS )  ambao  wamekuwa  wakiniwinda  kunitoa  kafara. Kuna  imani  potofu  ambayo  imejengeka  miongoni  mwa   watu  wanao  jihusisha  na  makafara  kwamba   kafara  ya  wanawake  wenye  ndevu  ina  nguvu sana. Jambo  hili  limekuwa  likinitia  hofu  sana  na  kunifanya  nishindwe  kutembea  kwa  uhuru  nikihofia  kukutana  na  watu  wa  namna  hiyo.



Hali  hii  ilinianza  nilipofikisha  miaka  21. Kusema kweli  sikuipenda  kabisa, hivyo  nikaanza  kutumia  dawa  mbalimbali  za  kizungu  na  za  kiasili  ili  kuondokana  na  tatizo  langu  lakini  wapi. Kuna watu  walinishauri  niwe  najifanyia  masaji  kwa   kinyesi  cha  chura, nikafanya  hivyo  sana  lakini  wapi, mwisho  wa  siku  nikaamua  kumuachia  Mungu  mwenyewe.



Queen  Okafor  anamalizia  kwa  kutoa  rai  kwa  NGOs  zinazo  jihusisha  na  masuala  ya  haki  za  wanawake, zianzishe  program  maalumu  za  kuwasaidia  wanawake  wenye   hali  ya  kimaumbile  kama  ya  kwake.

Vilevile  ametoa  wito  kwa watayarishaji wa  filamu  kutoka  Nollywood  kutengeneza  filamu  zinazo  elezea  changamoto  wanazo  kutana  nazo  wanawake  wenye   hali tofauti  za  kimaumbile  kama  yeye.



IMEKUSANYWA  KUTOKA  KWENYE  TOVUTI  MBALIMBALI   ZA  HABARI  NCHINI  NIGERIA.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA