Skip to main content

Jitibu Tatizo La Vipele Kwenye Uso ( Chunusi ) Kwa Njia Za Asili:






Komamanga:  Maganda  Ya   Mkomamanga  yaliyosagwa, yakichanganywa  na  habbat  sodah  ya  unga, hutengeneza  dawa  nzuri  ya  asili  ya  kuondoa  tatizo  la  vipele  vya  usoni  (  chunusi  )

Kuna  idadi  kubwa  ya  watu   wanao  kabiliwa  na  tatizo  la   vipele vya  usoni

(  Chunusi  ). Kuwa  na  chunusi  ni  jambo  lenye  karaha  sana,  kwani  linakufanya  upoteze  mvuto  wako  wa  asili  na  hivyo  kukukosesha  raha. 

Zipo  njia mbalimbali   za  asili  zinazo  weza  kutumika  kutibu  tatizo  la  chunusi  na  vipele  vya  usoni.  

 Ifuatayo  ni  miongoni  mwa  njia   bora  kabisa  na  ya  uhakika  itakayo  kusaidia  kuondokana  na  tatizo  la   Chunusi  au  vipele  kwenye  uso.

 
Habbat  Soda : Hii  ni  Habbat  Sodah  Ya  Mbegumbegu. Habbat  Sodah  iliyosagwa  ndio  inayo  hitajika  katika  kutengeneza   dawa   ya  asili  ya  kuondoa  tatizo  la  vipele  vya  usoni  ama  chunusi.


                             MAHITAJI :
i.               Habbat  Sawdah  ya  Unga  iliyo  sagwa.
ii.            Nusu  kikombe  ya  maganda  ya  komamanga  yaliyo  sagwa.
iii.           Nusu  kikombe  ya  siki  ya tofaha(apple )

                MATAYARISHO   NA MATUMIZI  

Changanya na pasha moto kwa dakika mbili kikombe kimoja cha Habbat-Sawdaa iliyosagwa, ½ (nusu) 
kikombe cha maganda ya komamanga yaliyosagwa, na ½ (nusu) kikombe cha siki ambayo inatokana na juisi ya tofaha (apple). 

Paka katika sehemu inayotakiwa kabla ya kwenda kulala kila  siku  usiku mpaka vipele (chunusi) vitakapoondoka. Mchanganyiko unaweza kukaa mpaka wiki tatu na ni lazima uwekwe katika hali ya ubarid. 

NJIA   HII  IMETUMIWA  NA  WATU  WENGI  NA  IMEWASAIDIA  SANA.  JARIBU  NA  WEWE  KUTUMIA  NJIA  HII  UONE  MAFANIKIO  YAKE.

Kwa  habari  na  taarifa  mbalimbali  kuhusu  masuala  ya  tiba zitokanazo  na  dawa  za  mimea  na  vyakula  lishe, endelea  kutembelea  : www.neemaherbalist.blogspot.com   Na  Kwa  Msaada  Wa  Matibabu  Kwa  Njia  Ya  Dawa  Za  Mimea,  fika  NEEMA  HERBALIST  FOUNDATION, kituo  Cha  Utafiti &  Msaada   Wa   Matibabu  Kwa  Njia  Ya   Dawa   Za  Mimea  na    Vyakula – Lishe. Gharama  za  Huduma  Zetu  ni  Nafuu  Sana.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA