Skip to main content

Jitibu Tatizo La Vipele Kwenye Uso ( Chunusi ) Kwa Njia Za Asili:






Komamanga:  Maganda  Ya   Mkomamanga  yaliyosagwa, yakichanganywa  na  habbat  sodah  ya  unga, hutengeneza  dawa  nzuri  ya  asili  ya  kuondoa  tatizo  la  vipele  vya  usoni  (  chunusi  )

Kuna  idadi  kubwa  ya  watu   wanao  kabiliwa  na  tatizo  la   vipele vya  usoni

(  Chunusi  ). Kuwa  na  chunusi  ni  jambo  lenye  karaha  sana,  kwani  linakufanya  upoteze  mvuto  wako  wa  asili  na  hivyo  kukukosesha  raha. 

Zipo  njia mbalimbali   za  asili  zinazo  weza  kutumika  kutibu  tatizo  la  chunusi  na  vipele  vya  usoni.  

 Ifuatayo  ni  miongoni  mwa  njia   bora  kabisa  na  ya  uhakika  itakayo  kusaidia  kuondokana  na  tatizo  la   Chunusi  au  vipele  kwenye  uso.

 
Habbat  Soda : Hii  ni  Habbat  Sodah  Ya  Mbegumbegu. Habbat  Sodah  iliyosagwa  ndio  inayo  hitajika  katika  kutengeneza   dawa   ya  asili  ya  kuondoa  tatizo  la  vipele  vya  usoni  ama  chunusi.


                             MAHITAJI :
i.               Habbat  Sawdah  ya  Unga  iliyo  sagwa.
ii.            Nusu  kikombe  ya  maganda  ya  komamanga  yaliyo  sagwa.
iii.           Nusu  kikombe  ya  siki  ya tofaha(apple )

                MATAYARISHO   NA MATUMIZI  

Changanya na pasha moto kwa dakika mbili kikombe kimoja cha Habbat-Sawdaa iliyosagwa, ½ (nusu) 
kikombe cha maganda ya komamanga yaliyosagwa, na ½ (nusu) kikombe cha siki ambayo inatokana na juisi ya tofaha (apple). 

Paka katika sehemu inayotakiwa kabla ya kwenda kulala kila  siku  usiku mpaka vipele (chunusi) vitakapoondoka. Mchanganyiko unaweza kukaa mpaka wiki tatu na ni lazima uwekwe katika hali ya ubarid. 

NJIA   HII  IMETUMIWA  NA  WATU  WENGI  NA  IMEWASAIDIA  SANA.  JARIBU  NA  WEWE  KUTUMIA  NJIA  HII  UONE  MAFANIKIO  YAKE.

Kwa  habari  na  taarifa  mbalimbali  kuhusu  masuala  ya  tiba zitokanazo  na  dawa  za  mimea  na  vyakula  lishe, endelea  kutembelea  : www.neemaherbalist.blogspot.com   Na  Kwa  Msaada  Wa  Matibabu  Kwa  Njia  Ya  Dawa  Za  Mimea,  fika  NEEMA  HERBALIST  FOUNDATION, kituo  Cha  Utafiti &  Msaada   Wa   Matibabu  Kwa  Njia  Ya   Dawa   Za  Mimea  na    Vyakula – Lishe. Gharama  za  Huduma  Zetu  ni  Nafuu  Sana.

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...