Skip to main content

DONDOO ZA AFYA YA MWANAMKE NA UKE



Utafiti wa shirika la Afya Duniani (WHO) umebaini kwamba matatizo ya afya ya ndani ya mwanamke na maambukizi ya maradhi ya sehemu za siri kwa wanawake (gynocological disease) yanaongezeka kwa kasi kubwa sana duniani.

Takribani asilimia 85% ya wanawake wanasumbuliwa na matatizo hayo, kati ya hao asilimia

75% ni wanawake wa kiafrika na asilimia 60% kati ya hao hawajajitambua, na wengine
wanajitambua lakini wanapuuzia,au wanakosa wapi wapate msaada.
Sasa tuangalie undani wa mwanamke



Mwanamke kwa kawaida ana sura tatu (3). Je! Unazifahamu?

(i) Sura ya nje (Reception)
Wengi husema mwanamke reception; wanawake wengi hujitahidi kwa gharama zote
kuhakikisha reception yao au muonekano wao wa nje upo safi na salama muda wote.

(ii) Sura ya pili ya mwanamke nyumbani kwake
Muda wote mwanamke huwa anahakikisha nyumbani kwake panakuwa safi na wengine hata kuajiri watu, wanalipwa mshahara kazi yao ni kuhakikisha mazingira hayo ya nyumbani yanakuwa safi mara zote.

(iii) Sura ya tatu ya mwanamke ni sura yake ya ndani, uke wa mwanamke na kizazi
Hii ndiyo sehemu nyeti na muhimu sana kwa mwanamke na ndio sehemu imemfanya

mwanamke aitwe mwanamke na apewe heshima na wanaume na sehemu hiyo pia inatakiwa kuwa safi na kutazamwa muda wote. Lakini fikiria eneo hili wanawake wengi hawalithamini wala kulipa kipaumbele, na

ndio sababu imepelekea kusababisha matatizo makubwa ya kiafya katika eneo hilo.
Hebu jiulize swali; kama kweli kila siku unaweza kujicheki kwenye kioo mara kadhaa
kuhakikisha reception yako ya nje iko safi, na kila siku unafanya usafi nyumbani kwako
kuhakikisha mazingira ya nyumbani kwako ni safi na salama.

Je! Ni marangapi au ni lini umeweza kucheki afya yako ya ndani kwa mara ya mwisho au ni mara ngapi kwa mwaka unakwenda hospitali kucheki afya yako ya ndani? Au kucheki afya yako ya kizazi? Fahamu ya

kwamba maradhi yoyote kuanza taratibu na ukua kadri siku zinavyokwenda Utakubaliana na mimi kwamba eneo hilo muhimu na nyeti halijathaminiwa kwa wanawake walio wengi.
Utafiti umebaini baadhi ya vyanzo vikuu vinavyoweza kusababisha maambukizi ya maradhi ya sehemu za siri kwa wanawake wengi ni;

i) Vyoo vya kuchangia (public toilets)
Eneo hili ni hatari sana katika kusababisha maambukizi.kwa hiyo unahitaji kuwa
mwangalifu sana sehemu yoyote yenye mikusanyiko ya watu ambayo itawalazimu
(kuchangia vyoo kama; maofisini, maeneo ya soko, nyumba za ibada , sehemu za starehe,kwenye nyumba zetu tunakoishi nyumba za kupanga,vyuoni,mashuleni, nk...

(ii) Kutotumia maji safi na salama.
Maji mengi tunayotumia sio safi na salama mengi yana bacterias. Wengine eti hujazia maji ndani ya ndoo halafu huwekwa chooni. Maji hayo huhifadhi bacterias ni hatari sana.

(iii) Matumizi ya pads za hedhi ambazo sio salama.
Utafiti pia umebaini wanawake wengi wanapomaliza hedhi huanza kutibu fangasi, wengine hupata michubuko, miunguzo, miwasho na vipele sehemu za siri. Kwasababu tu wametumia pads ambazo sio salama.

(iv) Bacterias
Bacteria hupatikana sehemu mbalimbali na katika mazingira mbalimbali, unahitaji umakini katika matumizi ya vitu ktk sehemu za ndani.

Pia unapofua nguo yako ya ndani unashauriwa kupiga pasi kabla ya kuvaa. Swali, ni wanawake wangapi wanapiga pasi nguo zao za ndani kabla ya kuvaa?
Vyanzo ni vingi sana, suluhisho ni nini? “Kinga ni bora kuliko tiba “ ni vyema ukafahamu
namna ya kumdhibiti muhalifu kabla hajaingia ndani kwako kuliko kupambana nae akiwa
tayari ndani ni ngumu. Ndo maana tumejitoa kuelimisha na kukushauri, jinsi ya kupambana na adui kabla na hata kama atakuwa ameingia kujua jinsi ya kumshinda.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA