Skip to main content

T.B JOSHUA & PASTOR CHRIS WAWAGAWA WAUMINI



Prophet  TB JOSHUA  na  Pastor   Chris  Oyakhilome.

Maoni  ya  T.B JOSHUA  kuhusu  uhalali  wa  mwanamke  kutoa  mimba  iliyotokana  na  kubakwa, yameonekana  kukinzana  na  yale  yaliyotolewa  na  Pastor  Chris  Oyakhilome  wa  Huduma  ya  ChristEmbassy.
Mapema  mwanzoni  mwa  mwaka  huu, Pastor  Chris  alinukuliwa akisema  kuwa, sio  dhambi  kwa  mwanamke  aliye bakwa, kufanya  abortion.

Pastor  Chris  alitoa  maelezo  haya


Can a baby that is a product of rape be aborted? Pastor Oyakhilome answers the question   :


Akijibu  swali  hilo  hilo, T.B  Joshua  alinukuliwa  akisema :



Maelezo  haya  yameonekana  kuwachanganya  waumini  wengi huku  wengi  wao  wakisema, maoni  ya  watumishi  hawa  wa  Mungu  yamewagawa  waumini  wao  kuhusu  suala  la  uhalali  wa  mwanamke aliye  pata  ujauzito  kwa  kubakwa  kufanya  abortion.

.

Can a baby that is a product of rape be aborted? Pastor Oyakhilome answers the question   :



Pastor  Chris  alitoa  maelezo  haya  :



Pastor  Chris 





Akijibu  swali  hilo  hilo, T.B  Joshua  alinukuliwa  akisema :







Maelezo  haya  yameonekana  kuwachanganya  waumini  wengi huku  wengi  wao  wakisema, maoni  ya  watumishi  hawa  wa  Mungu  yamewagawa  waumini  wao  kuhusu  suala  la  uhalali  wa  mwanamke aliye  pata  ujauzito  kwa  kubakwa  kufanya  abortion, ambapo  kundi  moja  wakikubaliana   na  PASTOR  CHRIS   huku kundi  jingine  wakikubaliana  na  T.B JOSHUA.



Comments