Skip to main content

JITIBU TATIZO LA NGIRI NA KIDONDA TUMBO KWA KUTUMIA MVINYO WA MNAZI.






Fresh  Palm wine
Ikiwa  unasumbuliwa  na   tatizo  la  ngiri ( henia  )  au   kidole  cha  tumbo  (  appendix )  unaweza  kuchagua  kutibiwa  magonjwa  hayo  kwa  njia  asilia  badala  ya  kufanyiwa  operesheni.
Kimsingi  zipo  tiba  mbalimbali  za  asili  zinazo  tibu  matatizo  ya  ngiri  na  kidole-tumbo.



Mvinyo  wa  nazi  ukigemwa

Leo  nitazungumzia  namna  ambavyo, mvinyo  wa  mnazi 
( Palm wine  )  unavyo weza  kutumika   kama  tiba  ya  tatizo  la  ngiri au  kidole  tumbo.

Watu  wengi  wana  chukulia   mvinyo  wa  mnazi  kama  kilevi, lakini  kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaaalamu  mvinyo  wa  mnazi  ni  mti – dawa  (  medicinal  plant )

Mtu  akigema  mvinyo  wa  nazi


Mvinyo   wa  mnazi  unafanya  vitu  viwili  katika  mwili  wa  mwanadamu, kwanza   unasaidia  katika   kuimarisha  kongosho  lakini  pili  unasaidia  klatika  ku boost    chembechembe  nyeupe   za  damu  ( white  blood  cells  )  katika  mwili  wa  mwanadamu.



Banana  Placenta

           JINSI  YA  KUTUMIA   MVINYO  WA  MNAZI  KAMA  TIBA  YA  TATIZO  LA  NGIRI AU  KIDOLE-TUMBO.

         MATAYARISHO
·       Chukua    chipukizi  la  mgomba  (  banana placenta )  kisha  lisafishe  kwa  maji   safi  na  salama.

·         Changanya  na  lita  tano  ya   mvinyo  wa  mnazi  ambao  ndio  umetoka  kugemwa  (  fresh  palm  wine )
·        Chemsha  mchanganyiko  wako  kwa  muda  wa  dakika  thelathini  hadi  arobaini.

·       Ipua  mchanganyiko  wako  kisha  uonje   kubaini  kama  ladha  ya  kilevi  imeondoka.
·       Baada  ya  hapo  chuja   mchanganyiko  wako  na  uhifidha  kwenye   chombo safi  na  salama.

                 MATUMIZI

Tumia   glasi  moja  ya  dawa  yako  mara  mbili  kwa  siku, asubuhi  na  jioni  kwa  muda  wa  siku  ishirini  na  moja.
                  MATOKEO  ( REACTION  )  YA  DAWA.
Utakapo  anza  kutumia  dawa  hii, utakuwa  unahisi  maumivu  kiasi  wakati  wa  kukojoa.  Vilevile  utakuwa  unatoa  mkojo  wenye  rangi  kama  ya  maziwa  kwa  mbali.

        UFANISI  WA  DAWA
Baada  ya  siku  ishirini  na  moja, tatizo  la  ngiri  au  kidole  tumbo  linakuwa  limeisha.


N.B: Makala  haya  hayahamasishi  matumizi  ya  mvinyo  wa  nazi, bali  yanaelezea  namna  ambavyo  mvinyo  wa  nazi, unaweza  kutumika  kama  dawa  asilia  ya  tatizo  la  ngiri  au  kidole-tumbo.

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA