Skip to main content

JITIBU TATIZO LA NGIRI NA KIDONDA TUMBO KWA KUTUMIA MVINYO WA MNAZI.






Fresh  Palm wine
Ikiwa  unasumbuliwa  na   tatizo  la  ngiri ( henia  )  au   kidole  cha  tumbo  (  appendix )  unaweza  kuchagua  kutibiwa  magonjwa  hayo  kwa  njia  asilia  badala  ya  kufanyiwa  operesheni.
Kimsingi  zipo  tiba  mbalimbali  za  asili  zinazo  tibu  matatizo  ya  ngiri  na  kidole-tumbo.



Mvinyo  wa  nazi  ukigemwa

Leo  nitazungumzia  namna  ambavyo, mvinyo  wa  mnazi 
( Palm wine  )  unavyo weza  kutumika   kama  tiba  ya  tatizo  la  ngiri au  kidole  tumbo.

Watu  wengi  wana  chukulia   mvinyo  wa  mnazi  kama  kilevi, lakini  kwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaaalamu  mvinyo  wa  mnazi  ni  mti – dawa  (  medicinal  plant )

Mtu  akigema  mvinyo  wa  nazi


Mvinyo   wa  mnazi  unafanya  vitu  viwili  katika  mwili  wa  mwanadamu, kwanza   unasaidia  katika   kuimarisha  kongosho  lakini  pili  unasaidia  klatika  ku boost    chembechembe  nyeupe   za  damu  ( white  blood  cells  )  katika  mwili  wa  mwanadamu.



Banana  Placenta

           JINSI  YA  KUTUMIA   MVINYO  WA  MNAZI  KAMA  TIBA  YA  TATIZO  LA  NGIRI AU  KIDOLE-TUMBO.

         MATAYARISHO
·       Chukua    chipukizi  la  mgomba  (  banana placenta )  kisha  lisafishe  kwa  maji   safi  na  salama.

·         Changanya  na  lita  tano  ya   mvinyo  wa  mnazi  ambao  ndio  umetoka  kugemwa  (  fresh  palm  wine )
·        Chemsha  mchanganyiko  wako  kwa  muda  wa  dakika  thelathini  hadi  arobaini.

·       Ipua  mchanganyiko  wako  kisha  uonje   kubaini  kama  ladha  ya  kilevi  imeondoka.
·       Baada  ya  hapo  chuja   mchanganyiko  wako  na  uhifidha  kwenye   chombo safi  na  salama.

                 MATUMIZI

Tumia   glasi  moja  ya  dawa  yako  mara  mbili  kwa  siku, asubuhi  na  jioni  kwa  muda  wa  siku  ishirini  na  moja.
                  MATOKEO  ( REACTION  )  YA  DAWA.
Utakapo  anza  kutumia  dawa  hii, utakuwa  unahisi  maumivu  kiasi  wakati  wa  kukojoa.  Vilevile  utakuwa  unatoa  mkojo  wenye  rangi  kama  ya  maziwa  kwa  mbali.

        UFANISI  WA  DAWA
Baada  ya  siku  ishirini  na  moja, tatizo  la  ngiri  au  kidole  tumbo  linakuwa  limeisha.


N.B: Makala  haya  hayahamasishi  matumizi  ya  mvinyo  wa  nazi, bali  yanaelezea  namna  ambavyo  mvinyo  wa  nazi, unaweza  kutumika  kama  dawa  asilia  ya  tatizo  la  ngiri  au  kidole-tumbo.

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...