Skip to main content

JINSI YA KUTUMIA VITUNGUU SWAUMU KAMA TIBA YA MALARIA






Vitunguu  swaumu  vina  faida  nyingi  sana  katika  afya  ya  mwanadamu. Mbali  na  kuwa  na  virutubisho  muhimu  katika  mwili  wa  mwanadamu, vitunguu  swaumu vinaweza  kutumika  kama  dawa  ya  kutibu  magonjwa  na  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya  yanayo msumbua  mwanadamu.
Makala  haya  yanaelezea  namna  unavyoweza  kutumia  vitunguu  kama  dawa  ya  malaria :
MATAYARISHO
Chukua punje 6 mpaka 7 za vitunguu swaumu, menya kisha vikatekate saizi ya vidonge, vimeze kwa maziwa ya moto au maji/ mara 3 kwa siku kwa muda wa siku 14

Comments