Skip to main content

FAIDA ZA KIAFYA ZA TUNDA LA NANASI!



Nanasi
NANASI  ni  tunda  lenye  ladha  nzuri. Mbali  na  kutumika  kama  tunda  ama  juisi  yake  kutumika  kama  kinywaji, tunda  la  nanasi  lina  faida  mbalimbali  kwa  afya  ya  mwanadamu.



Baadhi  ya  faida  hizo  ni   pamoja  na  :

i.             UTAJIRI  WA  VITAMINI  NA  MADINI :
Nanasi ina vitamini A,B na C na pia ina madini ya chuma, calcium, copper na phosphorous ambayo  yote  ni  muhimu  sana  katika  afya  ya  mwanadamu.



ii.           Tunda hili husaidia kutengeneza damu
iii.         Nanasi  husaidia  kuimarisha mifupa , meno, neva na misuli (muscles).
iv.         Tunda  la  nanasi  hutibu matatizo ya tumbo.
v.           Hutibu  matatizo  ya  Bandama
vi.         Hutibu  matatizo  ya   Ini
vii.       Husaidia  kusafisha   Utumbo mwembamba
viii.     Husaidia  kutibu  Homa
ix.         Husaidia  kutibu Vidonda mdomoni
x.           Husaidia  kutibu   Magonjwa ya koo
xi.         Husaidia  kutibu  tatizo  la  Kupoteza kumbukumbu
xii.       Husaidia  kutibu  maradhi ya akili Kukosa mori (low spirit)
xiii.     Husaidia  kutibu  Kikohozi
xiv.     Husaidia  kutibu  tatizo  la Kutetemeka
xv.       Husaidia  kutibu  tatizo  la Woga ( Anxiety )
xvi.     Husaidia kutibu  matatizo ya wanawake (upungufu wa hormones au makosa fulani katika sehemu za siri )
xvii.   Huondoa shida ya kufunga choo
xviii. Hutibu  tatizo  la  baridi yabisi
xix.     Husaidia  katika  kutibu  tatizo  la  Upungufu wa damu
xx.       Pia  tunda  hili   huwasaidia  akina mama wanaonyonyesha (wenye maziwa machache)



Kwa  maelezo  zaidi, wasiliana  nasi  kwa  simu  0766538384.

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA