Skip to main content

ZIJUE FAIDA MBALIMBALI ZA MTI WA MNYONYO




Mti  wa  mnyonyo  una  faida  nyingi  sana  kwa  afya  ya  mwanadamu.  Karibu  kila  kitu  kinachopatikana   kwenye  mmea  wa  mnyonyo  kina  faida   za  kiafya  kwa  mwanadamu.

Majani ya nyonyo ni tiba ya kifua kikuu  na  mizizi yake ni dawa ya mafindofindo, kuungua, macho yanjano, uvimbe, koo, kisonono  na  kaswende.

Kikonyo  chake  ni  dawa  ya  kwikwi.

JINSI  YA  KUTUMIA  MMEA  WA  MNYONYO  KUJITIBU  MAGONJWA  &  MATATIZO   MBALIMBALI  YA  KIAFYA.

i.             Kwikwi :

Jaza maji kwenye kikonyo, mpe mgonjwa anywe kila baada ya dakika 3 mpaka kwikwi iishe.

ii.           Kuungua  :

Meza  punje  za  mti  wa  nyonyo kwa  maji  kiasi  cha  glasi  moja  kwa siku  kwa  muda  wa  siku  tano.

iii.         Kutibu  miguu  inayo  uma :

Tumia majani kwa kufungia miguu inayouma.

iv.         Maumivu  Ya  Mgongo :
v.           Majani yake ukiyapasha moto yafaa kukanda mgongo  wenye  maumivu.

vi.         Kutibu  Kaswende  na  Kisonono  :

Ponda  mizizi  ya    mti  wa  mnyonyo, kisha  chemsha  na  tumia  kunywa  glasi moja  mara  mbili  kwa  siku  kwa  muda  wa  siku  saba.

vii.       Kuondoa  Kondo  La  Nyuma :
Mizizi  ya  mti  wa  mnyonyo  ikitafunwa  na  mama  mjamzito  yafaa  kwa  kutoa  mfuko  wa  uzazi  ( kondo  la  nyuma  )  kwa  urahisi  na  usalama  zaidi.

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...