Skip to main content

JE! UNAJUA KWAMBA, UNGA WA MKAA NI TIBA YA MAGONJWA NA MATATIZO MBALIMBALI YA KIAFYA?



Mkaratusi

Watu  wengi  hawajui  kuwa, unga  ama  vumbi  vumbi  la  mkaa  linaweza  kutumika  kama  tiba  ya  magonjwa  na  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya. Fuatana  name  hadi  mwisho  wa  makala  haya  upate  kujua  namna  ambavyo  unga  wa  mkaa  unaweza  kutumika  kama  tiba  ya  magonjwa  na  matatizo  mbalimbali  ya  kiafya  :

JINSI  YA  KUUPATA  UNGA WA MKAA :



Unga  wa  Mkaa

Unaweza kupata  unga  wa  mkaa kutoka kwenye mti wa mkuyu, kifuu cha nazi, msonobari au  mkaratusi.  Hivyo  basi  unga  wa  mkaa  unao  zungumziwa  hapa  ni  ule  unaotokana  na   eidha kifuu  cha  nazi, mti  wa  msonobari  au  mkaratusi.

MAGONJWA  YANAYO  TIBIWA  NA  UNGA  WA  MKAA

Unga  wa  mkaa  umethibitika  kuwa  na  uwezo  wa   kutibu magonjwa   matatizo  mbalimbali  kama  vile; Kuumwa na nyoka Kiungulia ,Kusaga  chakula, Uvimbe, Kutapika , Kuhara damu, kuharisha ,Vidonda vya tumbo ,  Macho , Dawa  kwa  mtu  aliye  kunywa  sumu  au  vitu  vyenye  kemikali n.k

JINSI   YA  KUTAYARISHA  UNGA  WA  MKAA  WA  KIFUU  CHA  NAZI, MSONOBARI  AU  MKARATUSI.

Choma kifuu cha nazi hadi kiwe  kama  mkaa  kasha saga kupata  unga  unga  wake.

Kwa   mti  wa  msonobari tumia magome yake  kwa  kuyachoma  hadi  yawe  mkaa  kasha  yasage  kupata  unga  unga.

MATAYARISHO  YA  DAWA
Chukua kijiko 1 kikubwa cha mkaa (unga) changanya na maji safi ya kunywa ya uvuguvugu uwe kama uji uji.

MATUMIZI   YA  DAWA
Kunywa kikombe kimoja cha mchanganyiko huo kabla ya kula.

MATUMIZI   YA  DAWA  HII  KWA  MTU   ALIYE UMWA NA NYOKA :

Shona kifuko cha kitambaa cheupe, chota mkaa kijiko kikubwa, weka ndani ya kifuko na maji kidogo, funga sehemu iliyoumwa, kisha fungua baada ya saa1, fungia nyingine hadi ufikapo hospitalini. Pia endelea kumpa  dawa hiyo hiyo ya kunywa, iliyokorogwa na kuwa kama uji mzito baada ya saa1 ufikapo hospitalini sumu yaweza kuwa imekwisha .

MATUMIZI  YA  DAWA  HII  KWA  MTU  ALIYEKUNYWA  SUMU
Kwa mtu aliyekunywa sumu   tumia njia hiyo ya kunywa. Inafaa kuwa na dawa hii nyumbani mwako kila wakati.


KWA   MTU  MWENYE  MATATIZO  YA  MACHO

Kwa   mtu  mwenye  matatizo  ya  macho, weka katika kifuko cha kitambaa kama hapo juu, fungia au weka kwenye jicho. Funga kwa siku 3 mfululizo wakati wa usiku.
Kwa  maelezo  zaidi, wasiliana  nasi  kwa  SIMU  0766538384.

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA