Skip to main content

KIINI CHA YAI CHAMTIBU UGUMBA

Lorraine  Donakey  na  kichanga  chake.


LIVERPOOL, UINGEREZA.
Mwanamke  mmoja, Lorraine  Donakey,23, ameshika  mimba  baada  ya  kuwekewa  kiini  cha  yai  kwenye  mfuko  wake  wa  uzazi.

Donakey  ambaye  aliharibu  mimba  zaidi  ya sita  hatimaye  amepata  motto  wa  kike  baada  ya  kuwekewa  kiini  cha  yai  la kuku  wa  kienyeji.



Lorraine

“ Kila  nilipopata  mimba, nilijua  itakua  na  nitazaa  lakini  nimeishia   kununua  nguo  nyingi  za  watoto  lakini  mimba  zinaishia  kuharibika” anasema  Donakey.
Kwa  maelezo  ya  Donakey, mimba  ya  kwanza  iliharibika  akiwa  na  miaka  17  na  aligundua  hali  hiyo  akiwa  amemaliza  mitihani  yake  ya  sekondari.


Wataalamu wanasema  kiini  cha  yai  ni  dawa  ambayo  husaidia seli  asilia  ambazo  zipo ndani  ya  miili  ya  baadhi  ya  watu.
Seli  hizo  huyaua  mayai  na  mbegu  za  uzazi.
Seli  hizi  hushambulia  mayai  ya  uzazi  kama  kitu  kigeni ndani  ya  mwili.
Ili kupata  dawa  madktari  walichanganya  mafuta  ya  maharage  ya  soya, mafuta  ya  glycerine, kiini  cha  yai  na  maji.


CHANZO : Gazeti La  Mwananchi, Toleo  Na.4990,Machi 21, 2014.

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...