Skip to main content

HATARI : MADENTI WA SEKONDARI WAWEKA PICHA ZA NUSU UTUPU MTANDAONI.

Haijajulikana  mara  moja   madenti  hawa  ni  wa  shule  ipi  ya  sekodari, lakini  kwa  muonekano  wa  haraka  haraka  wanaonekana  kama  ni  wanafunzi  wa  shule  ya  sekondari  iliyopo  nchini  Kenya . Picha  waliyo  piga  madenti  hawa  na  kuisambaza  mitandaoni  imezua  gumzo  kubwa  miongoni  mwa  watumiaji  wa  mitandao  nchini  Tanzania  na  Kenya  huku  wengi  kati  yao  wakionekana  kukemea  vikali.


Comments