Skip to main content

WANASAYANSI WAGUNDUA USHAIDI WA KINASABA JINSI WAZUNGU WALIVYOPATIKANA.







Wanasayansi  nchini  Marekani  wamegundua  vinasaba  vinavyo  onyesha  namna  wazungu  walivyopatikana  zaidi  ya  miaka  elfu  kumi  iliyopita.
Kwa  mujibu  wa  Akiolojia  na  Historia , binadamu  wa  kwanza  kuishi  duniani  alikuwa  mtu  mweusi  na  aliishi  Afrika   hususani  katika  mkoa  wa  Arusha/Manyara  nchini  Tanzania.


Swali  lililokuw  liliwatatiza  watu  wengi duniani  ni  namna  jinsi  watu  weupe  walipatikana  kutoka  kwa  watu  weusi.
Baada  ya  tafiti  za  muda  mrefu  hatimaye  siku  ya  jana, wanasayansi  nchini  Marekani  wamekuja  na  matokeo  ya  utafiti  yanayo  onyesha  jinsi  wazungu  walivyopatikana.


Kwa  mujibu  wa  utafiti  huo, wazungu  wa  kwanza  walipatikana  baada  ya  waafrika  wawili  kuzaa  watoto  wenye  ulemavu  wa ngozi  yaani  albino.
Kizazi  cha  watoto  hao  kilihamia  barani  Ulaya  na  kuendelea  kuzaliana. Na  ni  kizazi  hicho  ndicho  kilicho  saidia kutengeneza  watu  wa  ngozi  nyeupe  ambao  leo  hii  wanajulikana  kama  wazungu.
Kusoma  zaidi, tembelea  : http://originalpeople.org/dna-change-white-skin/
UNAKUBALIANA  NA  MATOKEO  YA  UTAFITI  HUU?

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...