Skip to main content

ZIJUE FAIDA KUMI ZA KUNYWA MAJI YA MADAFU.





Maziwa   ya  nazi, mafuta  ya  nazi  pamoja  na  maji  ya  madafu  ni  bidhaa  ama  malighafi  zinazo  tokana  na  mti  wa  mnazi. 
 


Bidhaa  hizi  zina  faida  kubwa  sana  katika  afya  ya  mwanadamu.
Huko  nyuma  tumewahi  kuandika  kuhusu   maziwa  ya  nazi  pamoja  na  mafuta  ya  nazi.


 Katika  makala  ya  leo  tutazungumza  kuhusu   maji  ya  madafu, ambapo  tutapata  kuzifahamu  faida  kumi  zitokanazo  na  kunywa  maji  ya  madafu.

Maji  ya  madafu  ni  maarufu  sana  miongoni  mwa  wenyeji  wa  mikoa  inayo  patikana  katika  ukanda  wa  pwani  ya  Tanzania.

Pamoja  na  kutumika  kama  kinywaji  kwa  ajili  ya  kuondoa  kiu, maji  ya  madafu  yana  faida  lukuki  kwa  afya  ya  mwanadamu.

Siku  ya  leo  tutapata  kuzitazama  faida  kumi  za  maji  ya  madafu.

1.   Yanazuia  Upungufu  wa  Maji  Mwilini.

2. Yanaimarisha  ubongo  na  misuli

3. Maji  ya  madafu  yanasaidia  kuzuia  muonekano  wa  kizee  
 (anti-aging ): Matumizi  ya  mara  kwa  mara  ya  maji  ya  madafu  yatakufanya  uonekane  na  kijana  hata  kama  umri  wako  umeenda.  Kuwa  na  uwezo  wa  kuzuia  muonekano  wa  uzee  ni  miongoni  mwa  sababu  zinazo  yafanya  maji  ya  madafu  yawe  maarufu  sana  miongoni  mwa  wasanii  wanao   igiza  filamu  katika  huko  Hollywood  nchini  Marekani.
.
4. Maji  ya  madafu  yanasaidia kuimarisha  mfumo  wa  usagaji  chakula  tumboni.

5.Maji  ya  madafu  yanasaidia  kuimarisha  mfumo wa  kinga  ya  mwili. 

6. Maji  ya  madafu  yanasaidia  kukukinga  dhidi  ya  magonjwa  ya  moyo  pamoja na  presha.

7.  Maji  ya  madafu  yana  utajiri  mkubwa  sana  wa  vitamin  mbalimbali, amino  acids,vimen’genyo, viondoa  sumu  pamoja  na  virutubisho  mbalimbali.

8. Maji  ya  madafu  yana  kiasi  kidogo  cha  kalori

.
9.  Maji  ya  madafu  yanasaidia  kuunyambua  mwili.
10. Maji  ya  madafu   yana  imarisha  mzunguko  wa  damu  mwili.

UNANGOJA  NINI? ANZA  KUTUMIA  MAJI  YA  MADAFU  LEO  UPATE  FAIDA  KIBAO  ZA  KIAFYA.
IMEANDALIWA  NA  NEEMA  HERBALIST  BLOG  0766538384.



Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...