Skip to main content

HAYA NDIO MATUNDA KUMI BORA KWA WAGONJWA WA KISUKARI



 
Jambuli  au  Jamuni

Kisukari au bolisukari (jina la kitaalamu: diabetes mellitus) ni ugonjwa unaoonyesha viwango vikubwa vya glukosi katika damu. Sababu yake ni uhaba wa homoni ya insulini mwilini au upungufu wa uwezo wa mwili wa kukubali insulini.
Tumeisha   elezea  kwa  urefu  sana  kuhusu  ugonjwa  wa  kisukari  katika  makala  zetu  zilizopita. Leo  tutaelezea  matunda  kumi  bora  kwa  mgonjwa  wa  kisukari.
Kama wewe  ni  mgonjwa  wa  kisukari, unashauriwa  kuzingatia  ulaji  wa  matunda  yafuatayo :

 
Jamuli  au  Jambuli.

Kiwi

1.       TUFAA  au  Ma APPLE
2.      CHERRIES
3.      JAMBULI  au  JAMUNI
4.      MAPERA
5.      ZABIBU
6.      PARACHICHI
7.      STRAWBERRIES
8.      MACHUNGWA
9.      MAPEA
10.  MAKIWI.



Kiwi

Utumiaji  wa  matunda  haya, huleta  nafuu  kubwa  sana  kwa  wagonjwa  wa  kisukari. Si  lazima  utumie  matunda  yote  kwa  pamoja. Unaweza  kutumia  moja  wapo  kati  ya  matunda  tajwa  hapo  juu  ama  waweza  kutumia  yale  utakayo  kuwa  na  access  nayo.
   IMETAYARISHWA  NA  NEEMA  HERBALIST  BLOG  0766538384

Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...