Skip to main content

HAYA NDIO MATUNDA KUMI BORA KWA WAGONJWA WA KISUKARI



 
Jambuli  au  Jamuni

Kisukari au bolisukari (jina la kitaalamu: diabetes mellitus) ni ugonjwa unaoonyesha viwango vikubwa vya glukosi katika damu. Sababu yake ni uhaba wa homoni ya insulini mwilini au upungufu wa uwezo wa mwili wa kukubali insulini.
Tumeisha   elezea  kwa  urefu  sana  kuhusu  ugonjwa  wa  kisukari  katika  makala  zetu  zilizopita. Leo  tutaelezea  matunda  kumi  bora  kwa  mgonjwa  wa  kisukari.
Kama wewe  ni  mgonjwa  wa  kisukari, unashauriwa  kuzingatia  ulaji  wa  matunda  yafuatayo :

 
Jamuli  au  Jambuli.

Kiwi

1.       TUFAA  au  Ma APPLE
2.      CHERRIES
3.      JAMBULI  au  JAMUNI
4.      MAPERA
5.      ZABIBU
6.      PARACHICHI
7.      STRAWBERRIES
8.      MACHUNGWA
9.      MAPEA
10.  MAKIWI.



Kiwi

Utumiaji  wa  matunda  haya, huleta  nafuu  kubwa  sana  kwa  wagonjwa  wa  kisukari. Si  lazima  utumie  matunda  yote  kwa  pamoja. Unaweza  kutumia  moja  wapo  kati  ya  matunda  tajwa  hapo  juu  ama  waweza  kutumia  yale  utakayo  kuwa  na  access  nayo.
   IMETAYARISHWA  NA  NEEMA  HERBALIST  BLOG  0766538384

Comments