Skip to main content

PAMBANA NA KISUKARI KWA KUTUMIA TIBA HII ASILIA





Kisukari  ni  ugonjwa  unao  wasumbua  mamilioni  ya  watu  duniani. Hapa  kwetu  Tanzania, kisukari  kinatajwa  kama miongoni  mwa  magonjwa  hatari  kabisa  yanayo  wasumbua  watu  wengi.
Kitu  kibaya  kuhusu  kisukari  ni  kwamba, unaweza  ukachelewa  sana  kujua  kama tayari  una  kisukari.
Miaka ya  nyuma   ilizoeleka  ni  watu  wanene tu  ndio  walio  dhaniwa  kuwa  na  kisukari,lakini  siku  za hivi  karibuni  hata   watu  wembamba  nao  wana   visukari.
Ili  kujilinda  na  kisukari  unatakiwa  uwe  makini  sana  katika   ulaji  wako.  Wewe  unaye  soma  makala  haya  unaweza  kuwa  na  kisukari  ama  unaweza  kuwa  hatarini kupata  kisukari  ingawa  hujui.
Kujilinda  na  kisukari  unatakiwa   ufanye   namna zote  zinazo wezekana    katika kujiepusha  na janga  hilo baya.  Miongoni  mwa  njia  zinazo weza  kukuepusha  na  ugonjwa  wa sukari  ni   tiba –chakula ya  MDALASINI & KARAFUU.

MAHITAJI  :

i.        Mdalasini   stiki  2
                          ii.                 Karafuu   Gramu  thelathini  (30g)
iii.              Lita  tano  ya  maji.

MATAYARISHO  :

Changanya   vitu hivyo  nilivyo  vitaja  hapo  juu, vihifadhi  kwenye  chombo   kasha  weka kwenye  friji  kwa  muda  wa  siku  nne.
MATUMIZI  :
Baada  ya  siku  nne  mchanganyiko  wako  utakuwa  tayari  kwa  matumizi  ya dawa. Tumia glasi mbili  za  dawa  yako  kutwa  mara  tatu. Utafanya  hivyo  mpaka  dawa  yako  itakapo  isha.Dawa  itakapo  isha  unaweza  kutengeneza  nyingine . Baada ya  siku  thelathini  za  kutumia  dawa  yako,unaweza  kwenda  katika  hospitali  yoyote  kwa  ajili  ya kupima sukari.

IMETAYARISHWA  NA  NEEMA  HERBALIST, 0766538384.


Comments

Popular posts from this blog

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na...

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ...

FAIDA KUMI ZA MTI WA MKOMAMANGA

Mti   wa   Mkomamanga   ni   mti   wenye   faida   nyingi   sana   katika   afya   ya   mwanadamu. Mti   huu   una   virutubisho –afya     mbalimbali   ambavyo   ni   muhimu   katika   afya   ya   mwanadamu.   Virutubisho   hivyo   vinapatikana   kwenye   magome, majani, mbegu, maganda   ya   matunda, juisi   ya   matunda   pamoja   na kwenye   maua   ya   mti   wa   mkomamanga. Zifuatazo   ni   faida   muhimu   za   mti   wa   mkomamanga : 1.           Maganda   ya   tunda   la   mkomamanga   yakichemshwa    hutoa   juisi    ambayo   hutumika   kama   dawa   ya   kufunga   kuhara. 2.   ...