Skip to main content

MZIGO MPYA UMEINGIA





Tunapenda  kuwataarifu  wateja  wetu  wapendwa  kuwa  sasa, umeingia  mzigo  mpya  wa dawa  za  asili  kama  ifuatavyo :


1. Dawa  ya  kuondoa  matatizo ya maumivu ya tumbo kwa  mama aliyejifungua
2. Dawa  ya  kutibu Homa  kumbazi
3. Dawa ya  kutibu  tatizo la Mtoto wa jicho  
4. Dawa  ya  kutibu  tatizo  la Kuvuja damu  puani  na maumivu ya tumbo kwa mama aliyejifungua
5. Dawa  ya  kutibu  na  kukausha Kidonda kipya
6. Dawa  ya  kutibu Mafizi na jino.
7. Dawa  ya kutibu  maumivu ya meno
8. Dawa  ya  kutibu Jino la Tambazi
9. Dawa  ya  kuondoa  sumu itokanayo  na  Kuumwa na Nge au nyoka. 
10.      Dawa  ya  kutibu  Kikohozi sugu .
11.      Dawa  ya  kutibu Maumivu ya tumbo kwa watoto.
12.      Dawa  ya  kutibu Maumivu ya zingizi,
13.      Dawa  ya   kusafisha mirija ya  kizazi 
14.      Dawa  ya  kutibu Tumbo la maumivu chini ya kitovu.
15.      Dawa  ya  kutibu  tatizo  la  kutokuzaa  kwa wanawake
16.      Dawa ya  kutibu  homa  za  watoto
17.      Dawa  ya  kutibu  tumbo  la  maumivu  kwa  wanawake  wajawazito
18.      Dawa  ya  kutibu   tatizo  la  upungufu  wa  damu  kwa  wanawake  wajawazito.
19.      Dawa  ya  kuongeza  maziwa kwa  wamama  wanao  nyonyesha.
20.      Dawa  ya  kusafisha  kibofu cha mkojo.
21.      Dawa  ya  kutibu tatizo  la  ngiri
22.      Dawa  ya  pumu kwa  watoto  na  watu wazima
23.      Dawa  ya  kutibu  tatizo la kufunga  choo
24.      Dawa  ya  kutibu  tatizo  la  baridi  yabisi
25.      Dawa  ya  kuondoa gesi tumboni
26.      Dawa  ya  kutibu  chunusi, vipele  na  harara
27.      Dawakwa  wagonjwa  wa  kisukari

Tunapatikana  UBUNGO  jijini  DAR E S  SALAAM, nyuma  ya  jengo  la  UBUNGO  PLAZA  jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING.

WASILIANA  NASI KWA  SIMU NAMBA  0766 53 83 84.

Comments