Skip to main content

WANAUME WA MAURITANIA HUWALAZIMISHA BINTI NA WAKE ZAO KUTUMIA MITISHAMBA,VYAKULA NA VINYWAJI HIVI ILI WANENEPE ..SABABU ITAKUSHANGAZA.


 Image result for images  of fat mauritanian women

Mauritania  ni  nchi  inayo patikana  upande  wa  kaskazini  magharibi  mwa  bara  letu  tukufu  la  Afrika.
Image result for MAURITANIA  FORCEFEEDING  IMAGES
Binti  akilazimishwa  kula ile anenepe

Katika  nchi  hii  wanaume  huwanenepesha wake  pamoja na  binti  zao.

Image result for MAURITANIA  FORCEFEEDING  IMAGES
Mwanamke  akionyesha  picha  ya  baada  na  kabla  ya  kunenepesha  mwili
Zoezi  hili  la  kuwanenepesha  wake  pamoja  na mabinti  hufanywa kwa  kutumia  dawa  za  mitishamba, vyakula  na  vinywaji  mbalimbali.

Kwa  upade  wa  mabinti, zoezi  hili  hufanyika  binti  anapokuwa  ametimiza  miaka  saba hadi  kumi na  mara  nyingi hufanyika wakati  wa likizo.

Mabinti  hawa  huwekwa  katika  camp  maalumu    ambako  hutakiwa  kula  vyakula, vinywaji  na  mitishamba  ya  aina  mbalimbali  iliwaweze  kunenepa.

VYAKULA  WANAVYO  LISHWA
Mabinti  hawa  hulishwa  vyakula  vya  aina  mbalimbali. Baadhi  ya  vyakula  hivyo  ni  kama  ifuatavyo :

1.     Vyakula  vyote  vitamu  vitamu  na  vyenye  sukari nyingi
2.     Vyakula  vyenye  mafuta  mengi
3.     Uji  wa  ulezi  
4.     Uji  wa  ufuta
5.     Asali  ya  tende  ( Date  Syrup )
6.     Maziwa  ya  mbuzi
7.     Maziwa  ya  ngamia
8.     Mitishamba  ya  aina mbalimbali  ambayo  husaidia  kunenepesha mwili

9. Vyakula  vyenye ngano  kwa  wingi, pamoja  na  vyakula  vya  wanga  kwa  wingi. 

9.     Pamoja  na  vyakula vingine vya  aina  tofauti tofauti  ambavyo  vinahusika  na kumfanya mtu  anenepe.

Zoezi  hili  hufanyika  kwa  umakini  mkubwa bila  kuleta  utani  wa  aina  yoyote  ile.  Matrons  wanao simamia  zoezi  hili, huwa wanakuwa  serious  sana  ili kuhakikisha  kila  mtoto  wa kike  alie kwenye  camp  anakula  na  kutumia  kiasi  cha  chakula  na  mitishamba anayo  takiwa  kuitumia  kwa  kipindi kilicho elekezwa.

Na  ikitokea  binti akaleta  ubishi, basi  atalishwa  kwa  lazima  na  ikitokea  binti  huyo  akajitapisha  chakula, kinywaji  au  kimiminika  cha  mitishamba  alicho pewa  kutumia, basi  matrons  watamtisha  kwamba, endapo  atatapika, atalazimishwa  kula  matapishi  yake.

Zoezi  hili huendelea  pindi  binti  anaporudi nyumbani  kwa wazazi  wake  na hufanyika  kila siku hadi  utakapo  fika  wakati  wake  wa  kuolewa.

Akiwa  kwa  wazazi  wake, binti  atatakiwa  kuwa  anatumia  kila siku vimiminika  vinavyo tokana  na   mitishamba  inayo saidia   kunenepesha mwili  pamoja  na vinywaji  & vyakula, vinavyo saidia  kunenepesha  mwili.

Zoezi hili  hufanyika  kwa  umakini  mkubwa sana. Wazazi  wa  wabinti huwa  makini  na  wakali  katika  kuhakikisha  binti  yao  anazingatia  kutumia  vyakula  hivyo  pamoja  na  mitishamba  hiyo  ya  kunenepesha  mwili.

BAADA  YA  KUOLEWA
Hata  baada  ya  kuolewa, mwanamke  huyo  hutakiwa  kuendelea  kutumia  vyakula na mitishamba  ya kunenepesha  on daily  basis.  Mume  huwa  makini  sana  na  humsisitizia  mkewe  kutumia  mitishamba  na vyakula  vya  kunenepesha.
NI  UTAMADUNI  WAO  TOKA  KALE
Kuwalazimisha mabinti  pamoja  na  wake kutumia vyakula  na  mitishamba  ya  kunenepesha  mwili, ni  utamaduni  wa  watu wa  Mauritania  tangu  enzi  na  enzi. 



Zoezi  hili  hufanyika  kama  sehemu  ya  kuenzi  utamaduni  huo  ulio  jikita  mizizi  miongoni  mwa  wananchi  wa  Mauritania.

SABABU  GANI  HUWAFANYA  WANAUME  WA  MAURITANIA  KUWANENEPESHA  BINTI  ZAO  NA  WAKE  ZAO.
Sababu  kuu  inayo  wafanya  wanaume  wa  Mauritania  kuwanenepesha  wake  na  binti zao  ni  dhana  iliyo jengeka 

i.          Dhana  iliyo jengeka  miongoni  mwa  jamii  ya  wana Mauriutania  kwamba, mwanamke  mnene  ndio  mrembo. Kwa  wana Mauritania, ili  mwanamke  aweze  kuonekana  mrembo  ni  lazima  awe  mnene.

Kama  sio mnene  basi  hawezi kuchukuliwa  kama  mrembo  na  ni vigumu  sana  kuolewa. 

Pindi  kijana  anapo peleka  taarifa  kwa  wazazi  wake  kwamba  amepata  mchumba  na  kwamba  anataka  kumuoa,  swali  la  kwanza  analo  ulizwa  ni  kama  mwanamke  huyo  ni  mnene  au  la, na  kama  mwanamke  huyo  si mnene, basi  familia  nzima  wataipinga  na kuisusia  ndoa  hiyo.     


Hivyo  basi  katika  kuhakikisha  mabinti  zao  wana  fit in kwenye jamii, wana  Mauritania  huhakikisha  kuwa  binti  zao  wanakuwa  wanene  kwa kufanya  zoezi  hilo  la kuwanenepesha  tangu  wakiwa  wadogo.

ii.        Sababu  ya  pili  ni  FAHARI  kwa  wazazi  na mume.  Baba  na  mama  mzazi  ni  fahari kwao  kumuoza  binti  yao  akiwa  mnene  vilevile  mume  ni fahari kwake  kuwa  na mwanamke  mnene na pia kuendelea  kudumisha  unene  wake hata  baada  ya  kufunga  ndoa. 

Kwa  wana  Mauritania  wengi, unene  ni  ishara  ya  kuwa  na  maisha mazuri  yenye  neema. Ishara  ya  kutokuwa  na  njaa. Hivyo  basi kuruhusu  binti au  mke  wako  kukonda, itakufanya  uonekane  wewe  hauna  maisha mazuri. 


Hauna  uwezo  wa  kuwatunza  binti  zako na mke  wako.

Mashirika  mbalimbali  ya  kutetea haki za  binadamu  na  haki  za  wanawake  yamekuwa  yakijitokeza  hadharani  kupingana  na  desturi  hii, lakini  bila  mafanikio  kwani  imethibitika  kuwa  wana  Mauritania  wengi  bado  wana  amini  katika desturi  hii na  kwamba  ni  vigumu  sana  kuiacha  kwa  mara  moaja.



KUNENEPA  NI RAHISI  SANA  KULIKO KUPUNGUA

 Related image

Kunenepa  ni  rahisi  kuliko  kupungua. Duniani  hakunaga  mtu  mwembamba. Uzoefu  unaonyesha  kuwa, mtu  anae taka  kunenepa anaweza  kupata  matokeo ya haraka  zaidi  kuliko  Yule  anae  taka  kupungua.

Hii  ni  kwa  sababu  njia  za  kunenepa  ni rafiki zaidi kwa  mtu  anaetaka  kunenepa  kuliko  ilivyo kwa  njia  za  kupungua  mwili.

Kwa mfano, mtu  anaetaka  kupungua  pamoja  na  mambo  mengi  kama  kutumia  dawa, anaweza  kutakiwa  pia  kufanya  mazoezi  ya  mara  kwa  mara, kufanya  diet  na  kuachana  na  baadhi  ya  vyakula, jambo  ambalo  ni  tofauti  na  mtu  anaetaka kuongeza na kunenepesha  mwili.

LISHE   YA  KUNENEPESHA  MWILI


Kama mwili  wako  ni  mwembamba  au  umedhoofika  kutokana  na  maradhi  ya  sababu  mbalimbali  kama  vile  stress  nakadhalika, ipo DAWA  LISHE  YA  KUNENEPESHA  MWILI.  Dawa  hii ni  ya  asili  na  itasaidia  kunenepesha  mwili  wako  na  kuurudisha  katika  hali  yake  ya  kawaida.

Kwa  mahitaji  ya  Dawa  Lishe  ya  kunenepesha  mwili, fika  katika  duka  la  Neema  Herbalist  lililopo  UBUNGO  jijini  DAR  ES  SALAAM, jirani  na  SHULE  YA  MSINGI  UBUNGO  NATIONAL  HOUSING   nyuma  ya  jingo  la  UBUNGO  PLAZA.

Wasiliana  nasi  kwa  simu  namba 0766 53 83 84.


     MAKALA   NYINGINEZO 
JINSI  KISUKARI  KINAVYO  SABABISHA  MARADHI  YA  NGUVU  ZA  KIUME


JINSI  KITAMBI  KINAVYO PATIKANA  NA  JINSI  UNAVYO WEZA  KUKIONDOA  KWA  TIBA  ASILIA


JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME

IJUE  SAYANSI  YA  NGUVU  ZA   KIUME

UHUSIANO  KATI  YA  UNENE  ULIO  ZIDI  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZAP  KIUME


KISA  UGONJWA  WA  KISUKARI  MWANAMKE  AMKIMBIA  MUMEWE  WA  NDOA  NA  KWENDA  KUISHI  NA  JIRANI


KUTANA  NA  MWANAMKE    AIYE  JITOLEA  KUMTIBU   MUMEWE  MARADHI  YA  AJABU


PUNYETO  ILISABABISHA  NINUSURIKE  KWENDA  JELA

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA