Skip to main content

UTACHUKUA HATUA GANI UKIMKUTA MAMA MTOTO WAKO ANAFANYA HIVI

Picha ya Yasinta Lyimo


Picha  hii  imesambaa  mtandaoni  ikimuonyesha  mwanamke  mmoja  ambaye  jina  lake  halikuweza  kupatikana  mara  moja, akiwa  anavuta  sigara  na  kupuliza  moshi huku  akiwa  ana  mnyonyesha  mtoto  wake.

Watu  wengi  walio toa maoni yao  kuhusu  picha  hii, wameonyeshwa  kusikitishwa  sana na  kulaani  vikali  tabia  hiyo, kwani  ni  hatari kwa  afya  ya  mama  na mtoto.

Kwa  mujibu  wa  Shirika  la  Afya  Ulimwenguni, W.H.O, uvutaji  wa  sigara  mbali  na  kusababisha  kansa lakini  pia  huleta madhara  makubwa  kwa  mtoto anae  nyonyeshwa  na  mama  anae  vuta  sigara.

Elimu  ya  ziada inahitajika  kutolewa  kwa  wanawake  wajawazito  na  wanao  nyonyesha  ili  kuwaepusha  na  tabia  hatarishi  kwa  afya  zao  na  za  watoto  wao.

             MAKALA NYINGINEZO

JINSI  KISUKARI  KINAVYO  SABABISHA  MARADHI  YA  NGUVU  ZA  KIUME


JINSI  KITAMBI  KINAVYO PATIKANA  NA  JINSI  UNAVYO WEZA  KUKIONDOA  KWA  TIBA  ASILIA


JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME

IJUE  SAYANSI  YA  NGUVU  ZA   KIUME

UHUSIANO  KATI  YA  UNENE  ULIO  ZIDI  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZAP  KIUME


KISA  UGONJWA  WA  KISUKARI  MWANAMKE  AMKIMBIA  MUMEWE  WA  NDOA  NA  KWENDA  KUISHI  NA  JIRANI


KUTANA  NA  MWANAMKE    AIYE  JITOLEA  KUMTIBU   MUMEWE  MARADHI  YA  AJABU


PUNYETO  ILISABABISHA  NINUSURIKE  KWENDA  JELA

Comments