Skip to main content

MWANAMITINDO KUTOKA KENYA ANAE TAMANI PENZI PENZI LA JUX


Linda  Mwende


Linda   Mwende, ni  mwanamitindo  anae  fanya  vizuri  sana  katika  tasnia  ya  mitindo nchini  Kenya. 
 Picha ya Armani Martin


Mwanamitindo  huyu  amejizolea  umaarufu mkubwa  nchini  Kenya  baada ya  kuonekana kwenye  videos  mbalimbali  za  wanamuziki  wa  Kenya.

 Kama  ilivyo ada, kila  mwanadamu  ana  moyo  na  kila  mwanadamu  ana  mtu  ambae  anampenda  kwa  dhati  kutoka  moyoni  mwake.
  Kila  mwanadamu  ana  mtu ambae  anatamani  kuwa  nae  kimapenzi.
 
Kwa  upande  wa  Linda, yeye  moyo  wake  umemuangukia  na  kumtunukia  Jux,  mwanamuziki  anae  fanya  vizuri katika  tasnia  ya  muziki  wa  Bongo Fleva.

Katika  mahojiano  yake  na  Neema Media , mwanamitindo  Linda Jesse  Mwenda, ameweka  wazi  mahaba  yake ya dhati   kwa  msanii Jux.

Yafuatayo ni mahoajiano  kati  ya  mwanamitindo  huyu  ni  Neema  Media.
Tuelezee historia yako kwa ufupi.. Like ulizaliwa lini na wapi na ulisoma wapi ?


Jina langu halisi, naitwa Linda Mwende,mzaliwa wa Kenya,Mwezi wa Nov 12,Masomo ni katika Chuo kikuu cha Kenyatta.




2. What are ur hobbies ?
I love dancing,singing n anything that is fun.


3. Unapenda muziki wa aina gani ?

Muziki ambao naweza kudensi


 4. Kati ya Diamond na Alikiba unamkubali zaidi nani ?

Hio siri yangu hapo,mngemuongeza Jux kwenye selection pia sababu wasanii wa kiume waliopoa ni wengi.

5. Ni mwanamuziki gani wa kiume kutoka bongo ambae unatamani kutoka nae kimapenzi ? Na kwanini


Nampenda  sana  Jux na  nnatamani  kutoka  nae  kimapenzi. Akinipa  nafasi  ya  kuwa  nae, sintofikiria  mara  mbili. Napenda  kila  kitu  kuhusu Jux, sura  yake, tabasamu  lake, muonekano wake  hadi  muziki wake.


 6. Una sifa zote za kuwa model wa kiwango cha lami, lakini bado hujaonekana kwenye music video ya star yoyote wa hapa East Africa . Kwanini ipo hivyo ?

6.Labda kwa sababu u don't follow Kenyan Music,go follow kwanza alafu mje na maswali,hamtambui.


7. Unapenda chakula gani ?

7.Chicken Biriani
8. Unajua kupika ? kama jibu lako ni ndio ni chakula gani ambacho unapenda zaidi kukipika ama chakula gani unaweza kukipika vizuri ?
Ndio,Biriani

9. Una tattoo yoyote kwenye mwili wako? Ni tattoo gani.. Ina maanishi nini ? Uliiweka lini na ipokatika sehemu gani ya mwili wako

IPO,kwa wale wametazama video zangu wajua sehemu.




 ? 10. Katika miaka ya hivi karibuni, watu wengi sana wanakabiliwa na tatizo la uzito na unene kupita kiasi. Ni jambo la kawaida siku hizi kuwakuta mabinti wadogo kabisa, wakiwa na vitambi.. Lakini wewe umefanikiwa kuutunza mwili wako vizuri. Sio mnene na wala hauna kitambi.. Unaweza kutueleza siri ya mafanikio yako ?

I watch what I eat,I don't work though mwaeza kosa kuamini.


11. Siku hizi wasichana wengi si waaminifu katika mahusiano ya kimapenzi.. Unadhani kitu gani kinasababisha iwe hivyo? Tamaa ya fedha na utajiri au hawaridhishwi kimapenzi na wapenzi wao ?


Siwezi jua,sijafika hapo,lakini kwa maoni yangu watu wakosa kuelewa.


12. Umepanga kupata watoto wangapi katika maisha yako ? Na kati ya mtoto wa kike na wa kiume, unatamani mtoto wako wa kwanza awe wa jinsia gani na kwanini ?
Nitaelewa na bwanangu na kwangu mtoto ni baraka.


 13. Siku hizi wanaume wengi wana tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume sababu ambayo inawafanya wanawake wengi kucheat. Je umewahi kuwa katika mahusiano na wanaume wa aina hii ? Na kama jibu ni NDIO, umewahi kufikiria kucheat kwa sababu mpenzi wako hana nguvu za kiume ?


Nitaelewa na bwanangu na kwangu mtoto ni baraka.

15. Umewahi kufikiria kufanya muziki
? Kama jibu ni ndio . Unafikiria kufanya muziki wa aina gani ?
Sijawahi fikiria,kwa sasa Mimi ni model


 16. Katika mikoa ya pwani ya Afrika Mashariki kama vile Mombasa na Dar Es Salaam, wanawake wengi hupenda kuvaa shanga. Umewahi kuvaa shanga katika maisha yako ? Kama bado nini mtazamo wako kuhusu wasichana kuvaa shanga ?
Nimeishi Malindi for sometime na Nina shanga.

17. Ukipewa deal la umodel, kutangaza nguo za ndani yani chupi au bikini . Upo tayari kufanya ?.

Mimi ni model,na nguo za ndani ni nguo



MAKALA   NYINGINEZO


 

JINSI  KISUKARI  KINAVYO  SABABISHA  MARADHI  YA  NGUVU  ZA  KIUME


JINSI  KITAMBI  KINAVYO PATIKANA  NA  JINSI  UNAVYO WEZA  KUKIONDOA  KWA  TIBA  ASILIA


JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME

IJUE  SAYANSI  YA  NGUVU  ZA   KIUME

UHUSIANO  KATI  YA  UNENE  ULIO  ZIDI  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZAP  KIUME


KISA  UGONJWA  WA  KISUKARI  MWANAMKE  AMKIMBIA  MUMEWE  WA  NDOA  NA  KWENDA  KUISHI  NA  JIRANI


KUTANA  NA  MWANAMKE    AIYE  JITOLEA  KUMTIBU   MUMEWE  MARADHI  YA  AJABU


PUNYETO  ILISABABISHA  NINUSURIKE  KWENDA  JELA

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA