Skip to main content

AUWAWA SINGIDA BAADA YA KUFUMANIWA LIVE NA MKE WA MTU !


 Image result for PICHA  ZA  KISU CHENYE  DAMU
JESHI  la  Polisi Mkoa  wa  Singida linamshikilia  mlemavu  wa  miguu anayejishughulisha  na  ufundi  wa  viatu  na  bajaji  mjini hapa, Khalid  Rjab (  45 ), kwa  tuhuma  za  mauaji  ya  mtu anayedaiwa kuwa  ni mgoni  wake, aliyemfumania  ndani  ya  chumba nyumbani kwake.

Fundi  huyo  anadaiwa kumuua  kwa  kumchoma  kisu  sehemu  mbalimbali mwilini  mwake  ikiwamo  kifuani, Iddi  Selemani ( 40 ) kwa  madai  ya  kumfumania akiwa  na  mkewe  tena  chumbani  kwake  wakifanya  mapenzi.

Tukio  hilo  lilitokea juzi  saa  9;30 mchana, katika eneo  la Jineri.

Inadaiwa  kuwa  Selemani  aliwahi  kuonywa  juu  ya  tabia hiyo  na  kutakiwa  aachane  na  mwanamke  huyo Mariam  Ibrahim ( 25 )

Kamanda  wa  Polisi  Mkoa  wa  Singida, Isaya  Mbughi, aliwaambia waandishi  wa  habari  kuwa  Selemani alikutwa  chumbani ndanu  ya  nyumba  ya  mlemavu  huyo  na  alipotaka  kukimbia  alishikwa  mguu  kisha  kuangushwa  chini  na  kuchomwa  kisu.


Alisema  Selemani, aliyekuwa  anajishughulisha  na usagaji nafaka, alifarika dunia  muda mfupi  baada  ya  tukio hilo akiwa  njiani  kupelekwa   Hospitali ya  Rufani  ya  Mkoa wa  Singida  kwa  ajili  ya  matibabu, kutokana  na  kuvuja  damu nyingi.


Kutokana  na  tukio  hilo,Kamanda  Mbughi, alisema Khalid anashikiliwa  na  polisi  pamoja na mkewe  Mariam.


Aidha , Kamanda  Mbughi  amewataka  wananchi  kuacha kujichukulia  sheria mkononi  pale  wanapokuwa  wamekosewa  badala  yake  washirikiane  na  jeshi  hilo  ili  kutokomeza  vitendo  hivyo.


Mbughi  alitoa  wito  pia kwa  wanandoa kulinda heshima  zao ili kujenga  imani kwa  kila  mmoja badala  ya  kujiingiza katika  vitendo vya uasherati .


Kutokana  na  kifo  cha  kijana huyo, Balozi  wa  mtaa  huo, Christian Khwere ameahidi  kuitisha mkutano  ili kuzungumza  na  vijana  juu  ya  kujihusisha  na  mapenzi  dhidi  ya  wake  za  watu.


Mwili wa  Selemani ulisafirishwa  jana  kwenda  kijijini  kwao, Kisiluda  wilayani Ikungi  kwa  ajili ya  mazishi.

CREDIT: GAZETI   LA  NIPASHE, JUMAPILI  SEPTEMBA 17, 2017.





MAKALA   NYINGINEZO
JINSI  KISUKARI  KINAVYO  SABABISHA  MARADHI  YA  NGUVU  ZA  KIUME


JINSI  KITAMBI  KINAVYO PATIKANA  NA  JINSI  UNAVYO WEZA  KUKIONDOA  KWA  TIBA  ASILIA


JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME

IJUE  SAYANSI  YA  NGUVU  ZA   KIUME

UHUSIANO  KATI  YA  UNENE  ULIO  ZIDI  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZAP  KIUME


KISA  UGONJWA  WA  KISUKARI  MWANAMKE  AMKIMBIA  MUMEWE  WA  NDOA  NA  KWENDA  KUISHI  NA  JIRANI


KUTANA  NA  MWANAMKE    AIYE  JITOLEA  KUMTIBU   MUMEWE  MARADHI  YA  AJABU


PUNYETO  ILISABABISHA  NINUSURIKE  KWENDA  JELA


Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA