Skip to main content

KALIO LAUA KISARAWE




PHOTOS: Meet The Nollywood Actress With The Biggest Butt
PIcha  haihusiani na  habari


Mkazi wa Kijiji cha Vilabwa, Kisarawe, Pwani, Ramadhani Habibu anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la mauaji!

Ramadhani anadaiwa kumuua Imma Habibu Nassor (26) kwa kumchoma na kisu kifuani baada ya kutokea ubishi kati yao wakibishania ukubwa wa   kalio  la msichana aliyewapita wakipiga soga kijiweni.

PHOTOS: Meet The Nollywood Actress With The Biggest Butt
Picha  haihusiani  na  habari.

Wakiwa kijiweni, majira ya 2.30 asubuhi, alipita msichana ambaye walianza kumjadili kwa kubishana mmoja akidai dada ana  kalio  kubwa, mwingine akisema   kalio  lake la kawaida tu halitishi kwa lolote!

Ubishi ulikuwa mkubwa ndipo kwa hasira, mmoja wapo akakimbia nyumbani kuchukua kisu alichokitumia kumchoma mwenzake hadi kumtoa roho.

SOURCE : JAMII  FORUMS

     MAKALA   NYINGINEZO
JINSI  KISUKARI  KINAVYO  SABABISHA  MARADHI  YA  NGUVU  ZA  KIUME


JINSI  KITAMBI  KINAVYO PATIKANA  NA  JINSI  UNAVYO WEZA  KUKIONDOA  KWA  TIBA  ASILIA


JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME

IJUE  SAYANSI  YA  NGUVU  ZA   KIUME

UHUSIANO  KATI  YA  UNENE  ULIO  ZIDI  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZAP  KIUME


KISA  UGONJWA  WA  KISUKARI  MWANAMKE  AMKIMBIA  MUMEWE  WA  NDOA  NA  KWENDA  KUISHI  NA  JIRANI


KUTANA  NA  MWANAMKE    AIYE  JITOLEA  KUMTIBU   MUMEWE  MARADHI  YA  AJABU


PUNYETO  ILISABABISHA  NINUSURIKE  KWENDA  JELA

Comments