Skip to main content

MREMBO AWA ONYA WANAWAKE WANAO WAHUDUMIA NA KUWAHONGA WANAUME. SABABU YAKE ITAKUSHANGAZA.


Image result for IMAGES  SHOWING  AN AFRICAN COUPLE


 MWANAUME KUMHUDUMIA MWANAMKE NI SEHEMU YA NGUVU ZA KIUME, DADA YANGU ACHA KUWA MWANAUME!
Mrembo  mmoja, kupitia  ukurasa  wake  wa  facebook, ameweka  ujumbe  unao  wataka  wanawake  wenye  tabia  ya  kuwahonga  na  kuwahudumia  wanaume  zao, kuacha  mara  moja  tabia hiyo kwa madai  ya  kwamba, kuhonga  na  kumuhudumia  mwenza   ni  jambo  linalopaswa  kufanywa  na  mwanaume  na  sio  mwanamke.

Maelezo  ya  mwanadada  huyo, yanasomeka  kama  ifuatavyo :

Hii ni Dada zangu ambao mmegeuka wanaume katika mahusiano yenu, mnapaswa kujua kuwa hakuna mwanaume ambaye napenda kuoa mwanamke ambaye anamhudumia.

Hapa mnielewe sio mwanmke ambaye anamzidi kipato hapana, unaweza kumzidi kipato mume wako lakini usimhudumie, kwamba kuna wale wanaume ambao;

Anaendesha gari la mkewe, anaomba hela ya chakula kwa mke, wazazi wakiumwa ni mke, ada ni kutoka kw, akitaka kutoka out ni mke yaani hata kama anafanya kazi lakini hachangii kitu katika familia. Na kama ni mpenzi wako tu hata si mume basi wewe hajawahi kukupa hata hela ya Pedi lakini kila akiwa na shida ni kukulilia.

Tena kama mwanamke ambaye anaomba hela ya saluni ambaye ukimnyima ananuna, yaani una boyfriend anakuomba hela ukimnyima ananuna.
 Dada yangu jua huyo hatakuja kukuoa, narudi hatakuja kukuoa na kama ikatokea bahati mbaya akakuoa narudia kama itatoke bahati mbaya naruidia tena kama itatoke bahati mbaya atakuoa basi jua kuwa utakua na msaidizi tu.

Kwamba mwanaume kumhudumia mkewe au mpenzi wake ni sehemu ya nguvu za kiume, kwamba huwezi kujiita mwanaume mbele za watu kama kila kitu unamtegemea mkeo, maamuzi yote ni mke. Sasa ili uwe na kauanaume hata kambali ni lazima uwe na kamchepuko flani ambako unakahonga, ambako kanakuambia Pedi zimeisha, kana shida ya hela ya saluni na ambako kanaweza kununa ukikanyima hela.

Ndiyo ilivyo hili ni suala la kisaikolojia upende usipende hivyo Dada yangu hembu acha upumbavu, narudia acha upuuzi wa kuhonga honga wanaume.

Hapa mnielewe kusaidiana na mpenzi wako ni raha na ni kitu kizuri sana, kwamba kama ukiwa na shida anakusaidia bila kusitasita basi hata yeye akiwa na shida msaidie.

Kama yeye anakununulia kitu na kukupa zawadi bila hata kuombwa na wewe fanya hivyo hayo ndiyo mapenzi.

Lakini Dada yangu kama ukimuomba vocha ya buku atakuambia matatizo mpaka ya marehemu Bibi yake, hakupi au unaomba vocha leo halafu anakupa baada ya mwezi huyo hata akilazwa Hospitalini usimnunulie panado.

 Kwanza ni mwanaume gani huna hata hela ya vocha halafu unatafuta wanawake, kwani sabuni ziko wapi, nenda kanunue JAMAA kama watoto wenzako.


Sasa mimi nishachoka kuandika, sasa wewe jifanye unapendwa unachukua mpaka na mkopo eti kuhudumia mwanaume mtu mzima na midevu yake, eti anakudnaganya anasoma yuko chuo umlipie! Pumbavu yaani umlipie mwanaume ada, unaakili Dada yangu! Kwani Baba yake yuko wapi, aende akafanye kibarua kama wanaume wenzake ajisomeshe. Sasa wewe lipa ila ukishadhulumiwa ukachwa unakaribishwa kusoma na Kitabu changu!
Top of Form



             MAKALA NYINGINEZO

JINSI  KISUKARI  KINAVYO  SABABISHA  MARADHI  YA  NGUVU  ZA  KIUME


JINSI  KITAMBI  KINAVYO PATIKANA  NA  JINSI  UNAVYO WEZA  KUKIONDOA  KWA  TIBA  ASILIA


JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME

IJUE  SAYANSI  YA  NGUVU  ZA   KIUME

UHUSIANO  KATI  YA  UNENE  ULIO  ZIDI  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZAP  KIUME


KISA  UGONJWA  WA  KISUKARI  MWANAMKE  AMKIMBIA  MUMEWE  WA  NDOA  NA  KWENDA  KUISHI  NA  JIRANI


KUTANA  NA  MWANAMKE    AIYE  JITOLEA  KUMTIBU   MUMEWE  MARADHI  YA  AJABU


PUNYETO  ILISABABISHA  NINUSURIKE  KWENDA  JELA


Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA