Skip to main content

MWANAMKE MWENYE MATATIZO YA AKILI AJIFUNGUA WATOTO MAPACHA, LAKINI AKUTWA NA PACHA MMOJA TU. KILICHOTOKEA KWA PACHA MWINGINE, KITAKUSIKITISHA





Mwanamke  mmoja  anae dhaniwa  kuwa na  matatizo  ya  akili, amekutwa  akiwa  amejifungua  mtoto  salama  bila  kupata msaada  kutoka  kwa   mtu  yoyote.



Tukio  hili  lililo vuta  hisia   za  watu wengi  limetokea siku  ya  Jumamosi  ya  tarehe  09  Septemba  2017  katika  viunga vya  makutano  ya  barabara  za  Ikoya  na  Okitipupa    huko  jijini  Lagos  nchini  Nigeria.




Taarifa  zinasema  mwanamke  huyo  ambae  mpaka  sasa  jina  lake  bado  halijajulikana alikutwa  akiwa  amejifungua  katika  eneo  la  jalala  ambalo  hulitumia  kama  makazi  yake  na  kuvuta  idadi kubwa  ya  watu    ambao  walishikwa  na  huruma na  kuanza  kufanya  jitihada  mahsusi  ili kuokoa  maisha  ya  mwanamke  huyo  pamoja  na  kichanga  chake.



Jitihada  za  wasamaria  hao  zilizaa  matunda  ambapo  taarifa  zilimfikia  mwenyekiti  wa  serikali  za  mtaa  wa  eneo  hilo  aliyejulikana  kwa  majina  ya  Morenike  Alaka, ambae  wakati  wa  tukio  alikuwa  akihudhuria   halfa  iliyo  andaliwa  na  First Lady  wa  Gavana  wa jimbo  la  Lagos,  Arabrin  Betty  Anyanwu – Akeredolu.


Morenike  Alaka  baada  ya  kupata  taarifa  hizo  haraka  aliondoka  katika  hafla  hiyo  na  kufika  katika  eneo  la  tukio  kwa  ajili  ya  kufanya  taratibu  za  kuokoa  maisha  ya  mama  na  mtoto  wake.


Kama  mwanamke  na  mama  aliyeguswa  na  tukio hilo , baada  ya  kufika  katika  eneo  hilo  aliwaagiza  madaktari  na  wanausalama wa  mtaa  wake   kufika  katika  eneo  hilo  upesi sana  ili  kumchukua  mtoto  huyo  kwa  ajili ya  uangalizi  na  matibabu  zaidi.

Inaelezwa  kuwa, baada  ya  madaktari  na  wanausalama  kufika  katika  eneo  hilo, mwanamke  huyo  alikataa  kumtoa  mtoto  wake  na  kutishia  kumuua  mtoto  kama  watu  hao  watamchukua.

Mwanamke  huyo  aliendelea  kuongea  mbele  ya  umati  ulio  kusanyika  katika  hilo  akisema  kuwa,  alijifungua  mapacha lakini  mtu  mmoja  alifanikiwa  kumchukua /kumuiba pacha  mmoja.

Baada  ya  takribani  masaa  kumi  na  kumsihi  na  kumshawishi  mwanamke  huyo  hatimae  walifanikiwa  kumchukua  na  kuondoka  nae  hadi  hospitali  kwa  ajili  ya  uangalizi  zaidi.

Taarifa  zaidi zinasema  mtoto  huyo  anaendelea  vizuri  hospitali.
 
CHANZO   :  VYOMBO  MBALIMBALI VYA  HABARI  NCHINI  NIGERIA.

MAKALA  NYINGINEZO 
JINSI  KISUKARI  KINAVYO  SABABISHA  MARADHI  YA  NGUVU  ZA  KIUME


JINSI  KITAMBI  KINAVYO PATIKANA  NA  JINSI  UNAVYO WEZA  KUKIONDOA  KWA  TIBA  ASILIA


JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME

IJUE  SAYANSI  YA  NGUVU  ZA   KIUME

UHUSIANO  KATI  YA  UNENE  ULIO  ZIDI  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZAP  KIUME


KISA  UGONJWA  WA  KISUKARI  MWANAMKE  AMKIMBIA  MUMEWE  WA  NDOA  NA  KWENDA  KUISHI  NA  JIRANI


KUTANA  NA  MWANAMKE    AIYE  JITOLEA  KUMTIBU   MUMEWE  MARADHI  YA  AJABU


PUNYETO  ILISABABISHA  NINUSURIKE  KWENDA  JELA

Comments

Popular posts from this blog

TIBA YA ASILI YA KUACHA PUNYETO KWA WANAUME

Pilipili  Mbuzi Punyeto  ( kwa  wanaume  )  ni  kitendo   cha  mwanaume, kujifikisha  mwenyewe  kileleni  kwa  kujichua  uume  hadi  kumwaga  mbegu  za  kiume.  Uchunguzi  unaonyesha  katika  watu  wa  jinsia  ya  kiume  kumi  wenye  umri  wa  kuanzia  miaka  16  hadi  45, angalau  wanne  kati  yao  wamewahi  kupiga  punyeto  katika  kipindi  fulani  cha  maisha  yao, na  wawili  kati  yao  wanajihusisha  na  upigaji  punyeto. Uzoefu  unaonyesha, asilimia  kubwa  ya  wanaume  wanao  piga  punyeto  huanza  katika  umri  wa  kubalehe  ( miaka  14-16  ), wengine  huachana  na  tabia  hiyo  mara  baada  ya  kupata  wapenzi  wa  kike  ama  kuoa  na  wengine  huendelea  na  tabia  hiyo  hata  baada  ya  kuoa .  Zipo  sababu  mbalimbali  zinazo  wapelekea  wanaume  kupiga  punyeto, ila  kubwa  kati  ya  hizo  ni  pamoja  na  kutokuwa  na  wapenzi, kutokuwa  na  wapenzi  wanao  kidhi vigezo  vyao, kuwa  katika  mazingira  yasiyokuwa  na  wanawake  ( mfano  katika  shule  za  sekonda

CHANZO NA TIBA ASILIA YA TONSILS

Dawa ya TONSILS ni (kugargar)  kusukutuwa maji yalokuwa si moto sana pamoja na chumvi mara 4 kwa siku yafike kooni. Pia unatakiwa usitumie pili pili manga wala tangawizi. Kwani watu wengi utasikia wanakunywa chai ya tangawizi na soup iliyojazwa pili pili manga. Kumbe unaona vizuri wakati unapokunywa lakini huwa unayavimbisha matonsils kwani baada ya nusu saa utaona unaumwa kuliko mwanzo na homa kuja juu. Uzuri kuwa unakunywa maji ya moto moto. Vile vile kuchukuwa mdomo wako na kuweka kwenye goti na kuwa unalipuliza bila kutoka pumzi mara kwa mara na kama hufikii goti lako basi unaweza kuchukuwa kanga na kufanya mfano wa mpira na kuwa unapuliza kila utakapokuwa na wakati, hii pia inasaidia. Usiwe unazungumza sana isipokuwa kwa dharura kwani ujaribu utakavyoweza upepo usipite kwenye mdomo wako. Sio lazima unywe maji baridi ndio upate Tonsils mfano A/c linapofanya kazi upepo wa baridi unapita kwenye mdomo wako basi unapata Tonsils Au wakati unapolala na A/c linafanya ka

IJUE SAYANSI YA KUSIMAMA KWA UUME

Ukosefu  na/ama  upungufu wa  nguvu  za  kiume, ni tatizo linalo  wakabili  mamilioni  ya  wanaume duniani. Tatizo  la  ukosefu/upungufu  wa  nguvu  za  kiume ni  nini  ? Ukosefu  ama  upungufu  wa  nguvu za  kiume  ni  ile  hali  ya  mwanaume  kutokuwa  na  uwezo  wa kufanya  tendo  la  ndoa  kwa  ukamilifu HATUA  MBILI  MUHIMU  KATIKA  KUSIMAMA  KWA  UUME Ili  mwanaume   aweze  kufanya  tendo  la  ndoa  na  andelee  kufanya  tendo  la  ndoa, ni  lazima  uume wake  upitie  hatua  kuu  mbili  kama  ifuatavyo : Hatua  ya  kwanza , ni  lazima  uume  wake  uweze  kusimama  barabara  na  kuwa  mgumu  kama  msumari. Na  hatua  ya  pili   ni  lazima, uume  wake  uendelee  kusimama  kwa  muda  mrefu  wakati  wa  tendo  la  ndoa.  Hatua  zote  mbili  zinapo  kamilika, ndipo  tunapo  pata  kitu  kinaitwa  STRONGER  AND  LONGER  ERECTION JINSI  HATUA  ZA  KUSIMAMA  KWA  UUME  ZINAVYO  TOKEA. 1. HATUA    YA  KWANZA: DAMU  KUTIRIRIKA  KWA