Skip to main content

SIJUI NIJIITE MKE AU MCHEPUKO ?


Image result for images  of a sad african woman


Naomba nipostie Kwa wamama naomba ushaur wao..naongopa kuposti mwenyewe nisije vamiwa na mawifi....

Nina Mme wangu sijui nimwite tu Mme sababu nimesha zaa nae na pia katoa mahar kwetu nusu bado hajamaliza...

Ni mwaka wa tatu sasa naishi nae... Wakati wanatoa mahar Walisema ndoa mwez wa nne mwakani..

Nilikiwa na ujauzito nikajifungua mwez wa tatu ndoa ikasemekana mwez wa nane na mahar kumaliziwa na wazazi kualikwa Nyumbani kwa mwanaume maana ndoa haiwez kufanyika bila wazazi kualikwa....

Mwez wa tano Mme kaachishwa kazi kwahiyo wazazi wa mwanaume wakasema ndoa haiwezi kuwepo tens hadi mwanao asimame tena..huo ulikuwa Ni mwaka wa kwanza kwenye ndoa...wa pili ukapita hivyo hivyo mwanaume hana kazi familia naisimamia mm kwa kila kitu... Sasa huu mwaka wa tatu nikamkomalia baba watoto nikamwambia anataka ndoa hata mahar tumesamehe msipeleke..

Akawapingia wazazi kuwaambia.. Chakushangaza alichoniambia ni kwamba wazazi wake wamesema Nyumbani kwao hapako vzr kupokea wageni na kama anataka ndoa nikafunge mahakamani na nisiwajulishe wazazi....

Nahisi kuna kitu kinaendelea hapa na siambiwi sasa sielewi nifanyeje ukizingatia mwanaume ana watoto wawili nje na wanawake tofauti ndani ya hiyo miaka mitatu nimeishi nae... Sijui nijiite mke au mchepuko... Naomba ushaur wenu je nifunge hiyo ndoa au nifungashe

MAKALA   NYINGINEZO
JINSI  KISUKARI  KINAVYO  SABABISHA  MARADHI  YA  NGUVU  ZA  KIUME


JINSI  KITAMBI  KINAVYO PATIKANA  NA  JINSI  UNAVYO WEZA  KUKIONDOA  KWA  TIBA  ASILIA


JINSI  PUNYETO  INAVYO  SABABISHA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZA  KIUME

IJUE  SAYANSI  YA  NGUVU  ZA   KIUME

UHUSIANO  KATI  YA  UNENE  ULIO  ZIDI  NA  TATIZO  LA  UKOSEFU  NA  UPUNGUFU  WA  NGUVU  ZAP  KIUME


KISA  UGONJWA  WA  KISUKARI  MWANAMKE  AMKIMBIA  MUMEWE  WA  NDOA  NA  KWENDA  KUISHI  NA  JIRANI


KUTANA  NA  MWANAMKE    AIYE  JITOLEA  KUMTIBU   MUMEWE  MARADHI  YA  AJABU


PUNYETO  ILISABABISHA  NINUSURIKE  KWENDA  JELA

Comments